Asubuhi ya kuamkia leo dunia nzima imekubwa na taharuki baada ya jeshi binafsi la WAGNER lililo chini ya ndigu Prigozhin liliasi na kuvamia mji wa Rostov nchini urusi na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mkoa huo.
Licha ya kutwaa mkoa bado vikosi vyake vilianza kufanya misafara ya kutaka kuelekea Moscow.
Hatimae jioni hii bwana Evgene Prigozhin amekubali kusitisha zoezi hilo(uasi) na Kuna mazungumzo yamefanyika kwa wqpiganaji wake wote kupewa ulinzi na kutochukuliwa hatua yoyote.
Habari hii inaweza kua mbaya kwa mahasimu wa Putin na Russia kwani walishaanza kushehrekea na kujua rasmi Putin ameanguka.
Miongoni mwa makubaliano ya Prigozhin na serikali ya Moscow ambayo yameratibiwa na raisi wa Belarus (Lukashenko)
1. Waziri wa ulinzi na maafisa kadhaa kujiuzulu( Prigozhin amekua akiwashutumu mara kadhaa kua wanazuia ufanisi wa vita huko Ukraine)
2. Wqpiganaji wote wa WAGNER- PMC kupewa ulinzi dhidi ya hatua za kinidhamu.
3. Prigozhin asilimia kubwa jeshi lake litahuska na masuala ya Afrika hapo baadae,ikumbukwe WAGNER wapo Senegal, Jamhuri ya Afrika ya kati pia!!
Clips za wanajeshi wa WAGNER wakijiandaa kuondoka Rostov.
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
Update-
Prigozhin kuhamia nchini Belarus.
Rasmi Kremlin imesema kua wanajeshi walioshiriki kwenye "uasi" hawatoshitakiwa kwa makosa ya uharifu.
Wanajeshi wa WAGNER ambao hawakushiriki kuajiriwa kwa mikataba na wizara ya ulinzi.
Your browser is not able to display this video.
NB- vikosi vya usalama vya Urusi huko mjini St Petersburg vilifanya upekuzi makao makuu ya Wagner,baadhi ya vitu walivyokuta vikiwa mali binafsi za Prigozhin.
Update 2.
Prigozhin akiondoka makao makuu ya jeshi mkoani Saratov pamoja na wqpiganaji wake,amepewa guarantee ya ahadi ya usalama wake kusafiri mpaka nchini Belarus.
Kitendo alichofanya ni hatari sana na hata kama NATO/USA wakisema wanamuunga mkono,just imagine Russia kama angeamua kutumia nguvu zake zote,ikiwemo silaha za nyuklia ama kutumia washirika wake kutoka Belarus, Chechen, Dagestan etc.
All in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!
Kitendo alichofanya ni hatari sana na hata kama NATO/USA wakisema wanamuunga mkono,just imagine Russia kama angeamua kutumia nguvu zake zote,ikiwemo silaha za nyuklia ama kutumia washirika wake kutoka Belarus, Chechen, Dagestan etc.
All in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!
Kitendo alichofanya ni hatari sana na hata kama NATO/USA wakisema wanamuunga mkono,just imagine Russia kama angeamua kutumia nguvu zake zote,ikiwemo silaha za nyuklia ama kutumia washirika wake kutoka Belarus, Chechen, Dagestan etc.
All in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!
Yes, hapo hakuna kumaliza ujinga kama huo kirahisi namnahiyo, labda kama walipanga pamoja kuzingua watu tu, vinginevyo mmoja katiya Putin ama huyo Prigozhn lazima ataondoka Russia kwa style yotote, akiwa mzima ama ubongo imesimama.
Kwa alichokifanya,lazima kina mkono na USA/NATO. Leo mjini Moscow raia walianza kupigiwa simu na unknown caller zikiwataka wananchi kuunga mkono uasi na wajitokeze kuandamana. Prigozhin hana nguvu hiyo peke yake, kumbuka hata UKRAINE kwenye vita anasaidiwa na Moscow.
Kitendo alichofanya ni hatari sana na hata kama NATO/USA wakisema wanamuunga mkono,just imagine Russia kama angeamua kutumia nguvu zake zote,ikiwemo silaha za nyuklia ama kutumia washirika wake kutoka Belarus, Chechen, Dagestan etc.
All in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!
Watu waongo pana dogo anasema Moscow hakuna data leo siku nzima wanatembelea mwendo wa VPN tuu hali bado tete wahuni huku mnaongea taarifa zisizo za ukweli...
Wagna wangesema waendelee na msafara wao kuelekea moscow jua la kesho asubui wasingeliona walahi maana waliwekewa trap moja mbaya sana yaan wangekufa kwa tabu sana.
Kitendo alichofanya ni hatari sana na hata kama NATO/USA wakisema wanamuunga mkono,just imagine Russia kama angeamua kutumia nguvu zake zote,ikiwemo silaha za nyuklia ama kutumia washirika wake kutoka Belarus, Chechen, Dagestan etc.
All in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!