Bin Faza
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 502
- 191
Wana JF
Kwa wale wasioijuwa zanzibar vyema, mumebahatika sana kupata darsa hili leo
Hiyo hapo chini ni hutuba ya Prime Minister wa zanzibar Mhe Mohammed Shamte akihutumia Umoja wa Maitaifa 1963,
Kwa taarifa yenu tu, kiti cha UN cha zanzibar kikalipo, nyerere alisahau kukifuta au hakuweza kukifuta kwasababu muungano wake na karume haukuwa wa mkataba kwahivo bado kiti cha znz
Bendera ya znz yenye karafuu munaioan hapo
kipo
Kwa wale wasioijuwa zanzibar vyema, mumebahatika sana kupata darsa hili leo
Hiyo hapo chini ni hutuba ya Prime Minister wa zanzibar Mhe Mohammed Shamte akihutumia Umoja wa Maitaifa 1963,
Kwa taarifa yenu tu, kiti cha UN cha zanzibar kikalipo, nyerere alisahau kukifuta au hakuweza kukifuta kwasababu muungano wake na karume haukuwa wa mkataba kwahivo bado kiti cha znz
Bendera ya znz yenye karafuu munaioan hapo
kipo
Last edited by a moderator: