Prime minister wa Zanzibar akihutbia UN Dec 1963

Prime minister wa Zanzibar akihutbia UN Dec 1963

Huu ukoloni mweusi tumeshachoka nao,mzee kifimbo cheza katuletea umasikini+ufukara,tuachiwe tupumueeeeee...

hawa jamaa wana jazba sana

ndani ya imani ya watanganyika ni kwamba wao wameitawala zanzbar. ndio mtu akileta fikra tofauti na kuiimarsiah ccm zanzibar basi ndio ugomzi huo
 
Mazindu Msambule



Kwa nyinyi watanganyika sulatan ni mbaya kwa sisi wazanzibari ni mzuri tena sana sana sana kupita kipimo,

leo hii ukiwauliza wazanzibari sio wazanzibara (wazanzibara waliletwa kufanya makazi tu) nani bora awe mtawala wa zanzibar....sultan au tanganyika....basi mia fil mia watachaguwa sulatan.

sisi wazanzibari hatusikii kama ni waafrika the way u ppl think u are

Kwa ufupi tu Mazindu Msambule, sisi wazanzibari hatuna problem na sulatan na hilo ninakuomba uwaambie watanganyika wenzako woooooooooote, tia magazeti kauli hiyo

Nyinyi watanganyika ni mahuluku shida tu, ugaidi wenu umo ndnai ya vyama vyenu vya siasa CCM, CDM na vitakavokuja baadae, humo ndio munamoteswa na kuuliwa huku munapiga makofi

Last ujuwe kila unaposoma makala zangu mimi kama mzanzibari ni PRO SULATAN 100% na hatutaki muungano na tanganyika

bora kutawaliwa na waarabu matajiri na wenye kujuwa thamani ya mali na vitu kuliko watanganyika masikini na wasiojuwa thamani ya mali na vitu................kazi yenu udini njaa tu..........

red/ kaka niko pamoja na wewe 100% lakini kumbuka tu historia ya zanzibar kuwa wazanzibar walipoona wanaadhibiwa na wareno waliona bora wamwite mwarabu kuja kuwasaidia,wakati huo warabu walikuwa na makao makuu Kilwa,hii inamaanisha kuwa zanzibar na wazanibari walikuwepo kabala ya warabu

warabu na kilwa
http://edition.cnn.com/2013/06/25/w...ory-australia/index.html?sr=sharebar_facebook
 
Kinachoisumbua Zanzibar ni Uarabu na Uafrika. Pro-Arabs (Wazanzibari) (akina Maalim Seif) hawataki Muungano while Pro-Africans (Wazanzibara) ndio wanaotaka Muungano! Otherwise, inakuwaje mtu mzima na akili zake kumtetea kibaraka wa Sultani Mohamed Shamte?

Hapana kaka huo ni muono wako tu kuhusu zanzibzr,zanzibar ni kisiwa kwahiyo ina sifa zote za kisiwa,angali jamaika,cape varde,comoro na visiwa nyote duniani utakuta kuwa watu wake wamechanganyika "cosmo politan",na hii ndio sifa ya zanzibar, wazanzibar hawabaguani kwa rangi kwasababu kila mtu kachanganya, kama famili haikuchanganya na muhindi itakuwa imechanganya mwarabu,au mbondei.mzaramo au,mpersia,au mchina au............hakuna kabila, kwa hali hiyo ndio maana ukapitikana utamaduni wa kiswahili,huo ndio ukweli usiopingika,tafakari

Wazanzibari hawasumbuliwi na warabu na wala hawana habari na uarabu,wakati wa miak ya nyuma za siasa za zanzibar kulikuwa na chama kinaitwa UMA Party,ukianagalia hichi chama wafuasi wake wengi kama akina Salim Mohamed Salim aliyekuwa waziri wa UN Tanzania walikuwa ni wazanzibari walichanganya damu na makabila ya asia na walikuwa wanamsimamo mkali wa kumpinga mwarabu
 
Mazindu Msambule

Kwa nyinyi watanganyika sulatan ni mbaya kwa sisi wazanzibari ni mzuri tena sana sana sana kupita kipimo,

leo hii ukiwauliza wazanzibari sio wazanzibara (wazanzibara waliletwa kufanya makazi tu) nani bora awe mtawala wa zanzibar....sultan au tanganyika....basi mia fil mia watachaguwa sulatan.

sisi wazanzibari hatusikii kama ni waafrika the way u ppl think u are


Kwa ufupi tu Mazindu Msambule, sisi wazanzibari hatuna problem na sulatan na hilo ninakuomba uwaambie watanganyika wenzako woooooooooote, tia magazeti kauli hiyo

Nyinyi watanganyika ni mahuluku shida tu, ugaidi wenu umo ndnai ya vyama vyenu vya siasa CCM, CDM na vitakavokuja baadae, humo ndio munamoteswa na kuuliwa huku munapiga makofi

Last ujuwe kila unaposoma makala zangu mimi kama mzanzibari ni PRO SULATAN 100% na hatutaki muungano na tanganyika

bora kutawaliwa na waarabu matajiri na wenye kujuwa thamani ya mali na vitu kuliko watanganyika masikini na wasiojuwa thamani ya mali na vitu................kazi yenu udini njaa tu..........
naanza kupata msisitizo wa theory ya huu mchoro japo mwanzoni nilidhani tumebadilika kimawazo baada ya kukaa kwenye Muungano kwa miaka kadhaa na wengine kuzaliwa humo humo.
Hivi kiti cha Ujerumani Mashariki na Ujerumani Magharibi kinasomekaje hadi sasa!?
znz.JPG
 
Hapana kaka huo ni muono wako tu kuhusu zanzibzr,zanzibar ni kisiwa kwahiyo ina sifa zote za kisiwa,angali jamaika,cape varde,comoro na visiwa nyote duniani utakuta kuwa watu wake wamechanganyika "cosmo politan",na hii ndio sifa ya zanzibar, wazanzibar hawabaguani kwa rangi kwasababu kila mtu kachanganya, kama famili haikuchanganya na muhindi itakuwa imechanganya mwarabu,au mbondei.mzaramo au,mpersia,au mchina au............hakuna kabila, kwa hali hiyo ndio maana ukapitikana utamaduni wa kiswahili,huo ndio ukweli usiopingika,tafakari

Wazanzibari hawasumbuliwi na warabu na wala hawana habari na uarabu,wakati wa miak ya nyuma za siasa za zanzibar kulikuwa na chama kinaitwa UMA Party,ukianagalia hichi chama wafuasi wake wengi kama akina Salim Mohamed Salim aliyekuwa waziri wa UN Tanzania walikuwa ni wazanzibari walichanganya damu na makabila ya asia na walikuwa wanamsimamo mkali wa kumpinga mwarabu

Mkuu, Wazanzibari ni wabaguzi wa kufa mtu asikudanganye mtu! Kinachoonekana kuwaunganisha sasa hivi ni "common enemy"
- Muungano!
When Muungano is gone ndio utajua sura halisi ya Zanzibar. Wewe sikiliza speech za Maalim Seif na Uamsho ndio utapata hint ya chuki zilizowajaa "Pro-Arabs!"
 
Hata yeye alipokimbia mara ya mwisho alisema "if my people want me back I will certainly go"

[video=youtube_share;7kTuy1cY5GA]http://youtu.be/7kTuy1cY5GA[/video]

Hapa ndio utaona kuwa utawala wa Kisultani ulikuwa sio utawala wa kiarabu bali masulatani walikuwai wazanziar wenye asili ya kiarabu hamna tafauti na Seif sharif,salim Ahmed salim,Karume jr .....nk

Ukiangalia hii picha au hii video huyu jamaa anaweza kuwa ndugu yake salim Ahmed salim 😉,propaganda za kuwa mapinduzi wamepinduliwa warabu haifanyi kazi tena katika karne hii ya "information technology"
 
Mkuu, Wazanzibari ni wabaguzi wa kufa mtu asikudanganye mtu! Kinachoonekana kuwaunganisha sasa hivi ni "common enemy"
- Muungano!
When Muungano is gone ndio utajua sura halisi ya Zanzibar. Wewe sikiliza speech za Maalim Seif na Uamsho ndio utapata hint ya chuki zilizowajaa "Pro-Arabs!"

Basi nyerere alikuwa mpumbavu,kwanini alikubali kuungana na nchi ya kibaguzi?
 
Mazindu Msambule



Kwa nyinyi watanganyika sulatan ni mbaya kwa sisi wazanzibari ni mzuri tena sana sana sana kupita kipimo,

leo hii ukiwauliza wazanzibari sio wazanzibara (wazanzibara waliletwa kufanya makazi tu) nani bora awe mtawala wa zanzibar....sultan au tanganyika....basi mia fil mia watachaguwa sulatan.

sisi wazanzibari hatusikii kama ni waafrika the way u ppl think u are

Kwa ufupi tu Mazindu Msambule, sisi wazanzibari hatuna problem na sulatan na hilo ninakuomba uwaambie watanganyika wenzako woooooooooote, tia magazeti kauli hiyo

Nyinyi watanganyika ni mahuluku shida tu, ugaidi wenu umo ndnai ya vyama vyenu vya siasa CCM, CDM na vitakavokuja baadae, humo ndio munamoteswa na kuuliwa huku munapiga makofi

Last ujuwe kila unaposoma makala zangu mimi kama mzanzibari ni PRO SULATAN 100% na hatutaki muungano na tanganyika

bora kutawaliwa na waarabu matajiri na wenye kujuwa thamani ya mali na vitu kuliko watanganyika masikini na wasiojuwa thamani ya mali na vitu................kazi yenu udini njaa tu..........

Aise, sikujua, hapo kwenye Red, kumbe bado una/mna mawazo ya kitumwa namna hiyo hata kukataa asili yako? Ajabu kubwa, hapo kwenye Bold, kumbe kupigia kelele kote huko kwa mungano kuvunjika bado mna mawazo ya kutawaliwa tu hadi leo, nimeamini ule msimamo wa Makaburu wa Africa kusini kwamba kuna watu ni Kaffar (Sio kafiri) maana yake somebody with a Head but no brain inside! Sasa mkuu mnasomesha Wazanzibar wa nini kama bado mnataka kutawaliwa tu?
 
Asante Kwa maelezo yako . Nimekuelewa.Huyu kamaa anaongea chini ya serikali ya zanzibar kwa kuwakilisha wazanzibari na sulatani wa zwazanzibar,hilo sio geni mfumo huo upo Uk,Nertherland,Scandinavia.

serikali anayoiwakilisha huyu jamaa ilichaguliwa kidemokrasi kwa kupigiwa kura na wazanzibar,hizo propaganda za kuwa serikali ilikuwa ya kisultatani hazaina msingi,Sultani wa zanzibar ana "Generation" zaidi ya kumi na moja(11) zanzibar,kuanzaia babu na babu mpaka akafika yeye kupewa usulatani

Karume kawa mtawala wa zanzibar hakuzaliwa zanzibar, hana hata generation moja zanzibar hana hata mojomba au shangazi zanzibar,Sasa Sultani wa zanzibar na karume nani mzanzibar nani ana haki ya kutawala zanzibar,kwa fikira zako kwanini Karume amekubali kuiunganisaha zanzibar na Tanganyika,jibu kwasababu aliuwa mgeni na alijua wazanzibari watamgeuka,kaa ufikiri kwanini mungano unapigwa na walio wengi zanzibar,jibu kwasababu wazanzibar hawakushirikishwa

kama mapinduzi yangefanyika Kwa wakait huu wa leo yangeitwa "genocide"[/QUOTE]
 
Weye nnan aliye kwambia tunataka muungano na ninyi wez wa raslimali zetu, tumewabeba ishatosha... Kwanza ngekuta sio John okelo mpaka saa hii mngekua mnawachumia waarabu karafu na naz, aikosi weye ni kitukuu cha kitukuu cha sultan seyid said, unanuka biashara ya kuuza watu( ya utumwa). Oman ndo kwenu wala si zenji.
 
chabuso

red/ kaka niko pamoja na wewe 100% lakini kumbuka tu historia ya zanzibar kuwa wazanzibar walipoona wanaadhibiwa na wareno waliona bora wamwite mwarabu kuja kuwasaidia,wakati huo warabu walikuwa na makao makuu Kilwa,hii inamaanisha kuwa zanzibar na wazanibari walikuwepo kabala ya warabu

Mkuu,

maneno yako mazima sana lakini mwarabu aloitwa kuja kuikombowa zanzibar ya siku hizo alikuwa Sayyed Said Al Saeed kutoka Oman. Siku hivo Waomani walikuwa tayari wamemngoa mreno katika ardhi yao,

Sasa sabau kubwa ya Sayyed Said Al Saeed kukubali ombi hilo ni kwamba hapo zanzibar palikuwa panakaliwa na waarabu. Na hizo habari munazosikia kwamba zanzibar kulikuwa na utawala wa mwinyi mkuu, musibabaishwe na lugha alikuwa ni mwarabu pia Mwinyi Mkuu wa zanziabr.jpgkama picha inavoonesha.

Utawala wa Kilwa ulikuwa chini ya uongozi wa sultan wa zanizbar siku hizo.

Ukitaka kujuwa zaidi juu ya utawala wa kilwa nitakuomba usome kitabu kiitwacho The Arabian Kilwa Chronicles kiloandikwa na Sheikh Muhdin abdullah Al Qahtan, alokuwa Mufti wa zanzibar in 1830s


 
Mkuu, Wazanzibari ni wabaguzi wa kufa mtu asikudanganye mtu! Kinachoonekana kuwaunganisha sasa hivi ni "common enemy"
- Muungano!
When Muungano is gone ndio utajua sura halisi ya Zanzibar. Wewe sikiliza speech za Maalim Seif na Uamsho ndio utapata hint ya chuki zilizowajaa "Pro-Arabs!"

samahani sana lakini kwahilo siko pamojana wewe

dunian nzima upo ubaguzi hata ndani ya familia moja,

lakini wazanzibarini watu wavumilivu sanaaa, isipokuwa siasa za kupandikizwa na African Association na ASP na CCMndio zinazoonekana kama ni ubaguzi wa dharihi zanzibar
 
Baba ye2

Weye nnan aliye kwambia tunataka muungano na ninyi wez wa raslimali zetu, tumewabeba ishatosha... Kwanza ngekuta sio John okelo mpaka saa hii mngekua mnawachumia waarabu karafu na naz, aikosi weye ni kitukuu cha kitukuu cha sultan seyid said, unanuka biashara ya kuuza watu( ya utumwa). Oman ndo kwenu wala si zenji.

unaongea na mimi au?

ikiwa unaongelea wakwezi wa minazi na wachumaji karafuu siku hizo ndio ilokuwa kazi yenu nyinyi watanganyika.

Hizo ndo ilokuwa kazi mulozifuata zanizbar.

Sisi wazanzibar hatuoni aibu kukubali kwamba ni waarabu, hata mukatwita warabu koko, ni sawa tu

kwa mimi na wazanziabri wengi wenye hisia kama zangu, john okelo alotuletea ni balaa tu, kwa mapinduzi yao leo hii znz iko hoi bin taaban

hadi mwaka 1963 wafanyakazi serikalini walikuwa wanamiliki kwenda holidays wakipata likozo zao, wakienda misri na baghdadi, leo kwasabau ya john okelo na waliomtuma msharaha wa mwezi hautoshi chakula cha siku 3

1963 WHO inasema zanzibar ni malaria free, leo lmalaria ndio nguo za watu

nenda juu urudi chini mwafrika hana uwezo wa kuongoza nchi, si unaona balaa afrika nzima kazi kupinduwana na kuiba mali za nchi zao. sisi wazanizbari ni nusu waafrika kwahivo tuna mentality nyengine kabisa

kwahivio na nyinyi watanganyika pia hamuwezi kujiongoza wenyenu, sijui munaitakia znz ya nini, tuwachilieni tujiongoze wenyewe, ndani ya 5 yrs tumutaona mabadiliko wewe utakuja kutafuta kazi znz
 
Weye nnan aliye kwambia tunataka muungano na ninyi wez wa raslimali zetu, tumewabeba ishatosha... Kwanza ngekuta sio John okelo mpaka saa hii mngekua mnawachumia waarabu karafu na naz, aikosi weye ni kitukuu cha kitukuu cha sultan seyid said, unanuka biashara ya kuuza watu( ya utumwa). Oman ndo kwenu wala si zenji.

Ahhhh kwli kumuelimish mjinga kazi!, hivi nikwanini linapokuja swali "Mamlaka kamili Zanzibar au kuvunjika kw muungano" munakuwa wagumu kuelew au tuseme katika mahusiano ikitokea mmoja wapo kutaka uhusiano uvunjik kuna kosa?, hivy vitisho vyen vya kitto vitaisha lini?, hakuna ubaya wwote kwa mtu kudai chake na ww hivyo unaelew lakini sijui hapa pana nini kitakachokosekana kwenu?.
 
Kaka usibadilishi history ya zanizbar kama walivyofanya wana mapinduzi, inasemakana mwinyi mkuu alialikuwa na makao makuu yake shangani,warabu walimuondoa shangani akakimbilia sehemu Bungi,wazanzibar kama wazanzibar walikuwa wanafanya biashara na wafanya biashara wa bahari ya hindi, walikuwa wanafanya biashara na warabu,wahindi,wachina.....wareno nk

Warabu wa mwanzo kutawala walitawala Kilwa,wakati warabu wanatawala Kilwa na Kilwa iko juu kibiashara zanzibar ilikuwepo na ilikuwa haitawaliwi na mwarabu,warabu wameanza kutawala Zanzibar baada ya weyeji wa zanzibar kuwaita waje kusaidia kuwaondoa wareno soma hii link ....Ancient African coins that could change history of Australia - CNN.com...

soma hiyo link hapo juu utaona uhusioan uliopo kati ya Zanzibar na Kilwa,utawala wa kilwa na na zaniabr vilikuwa ni vitu viwili tafauti

Ninavyoona mimi na katika tafiti zangu,wazanzibar walikua ni watu wa kuchaganyika kimamakabila kama ilivyo kisiwa chochote kile duniani,wazanzibari wenyewe walikua sio warabu,sio wahindi wala sio wapasia,Mwarabu aliemleta muhindi na akamfanya ahamie zanzibar ,mzanzibari aliemleta mwarabu na kumfanya ahamie zanzibar ,kabla ya hapo kablaya hao wahindi na warabu kuja kuhamia zanzibar kulikuwepo watu wanaoitwa wazanzibar wanaofanya biashara zao kutoka na geografia za viziwa hivyo

Wakati huo ilikuwa inachukuwa miazi mitatu(3) mpaka sita kutoka Oman,au India kwa msaada wa upepo wa monsson kufika zanizibar,inachukuwa masaaa mawili kwa kutmia upepo kwa Msegeju kutoka Pangani mpaka Pemba,inachukua muda huo huo kwa Mzaramo kutoka Mlingotini mpaka shangani Unguja,haya makabila ni wavuvi na wanaendela kulala Dago kwenye visiwa vya zanzibar na kando kando ya bahari ya Tanganyika na hawa ndio waasisi wa wawasuahilimwa zanzbar

nani wazanzibari? muono wangu wazanzibar ni mchanganyiko wa makabila ya mkondo wa pwani ya afrika mashariki makabila kama wadigo,wazigua,wasegeju,wazaramo,wasomali,wangazija,,wagunja.....nk,baada ya makabila haya na mengineo kuachanganyika na makabila ambayo yanatoka nje ya afrika hususan bara la asia kama vile warabu.wahindi,wapasia,wareno nk zanzibar ilizaaa utamaduni wake na mila zake na waswahili wanzibar ukazaliwa

Mfano mzuri angalia USA na history yake mchanganyiko wa makabila ya Ulaya ulizaa utamaduni mpya unaoitwa "Umarekani"

Je mzanzibari ni mtanganyika? jibu hapana,mzanzibar ni mzanzibar,wazanzibar ni watu wenye asili yao,utamaduni wao,mila zao,lugha yao nk,ni watu waliochangayika kikabila kutokana na feografia wa visiwa vyao,kama tunavyoiona marekani na utamaduni wake ndio ninavyooiona zanzibar na utamaduni wake 😉
 
chabuso



Mkuu,

maneno yako mazima sana lakini mwarabu aloitwa kuja kuikombowa zanzibar ya siku hizo alikuwa Sayyed Said Al Saeed kutoka Oman. Siku hivo Waomani walikuwa tayari wamemngoa mreno katika ardhi yao,

Sasa sabau kubwa ya Sayyed Said Al Saeed kukubali ombi hilo ni kwamba hapo zanzibar palikuwa panakaliwa na waarabu. Na hizo habari munazosikia kwamba zanzibar kulikuwa na utawala wa mwinyi mkuu, musibabaishwe na lugha alikuwa ni mwarabu pia View attachment 99862kama picha inavoonesha.

Utawala wa Kilwa ulikuwa chini ya uongozi wa sultan wa zanizbar siku hizo.

Ukitaka kujuwa zaidi juu ya utawala wa kilwa nitakuomba usome kitabu kiitwacho The Arabian Kilwa Chronicles kiloandikwa na Sheikh Muhdin abdullah Al Qahtan, alokuwa Mufti wa zanzibar in 1830s



Dini ndio iliyomfanya Sultan wa Oman akubali ombi la kuja kuisaidia Zanzibar,kwa vile wareno walikuwa wakkristo,ukumbuke vile vile kabala ya kuitwa mwarabu hapo zanzibar,watu wanaoita wapersia walikuwa tayari wameshahamia,wareno tayari walikuwepo hapo,lakni vile vile wakati huo wazanzibar walikuwa tayari wameshanchanganya na warabu,wapasia na dini ya zanzibar ilikuwa uislam,mtawala wa zanzibar alikuwa mzanzibari halisi 😉

Mkuu usibabaike na mavazi ya huyo alivovaa huyo mtu kwenye picha,hiyo picha inaonyesha hhasa hao watu sio warabu,angalia huyo mtoto wasiifu wake,hayo yalikuwa mavazi ya waswahili wa zanizbar,hata Tipu tipu alikuwa anavaa hivyo hivyo lakini alikuwa sio mwarabu

mkwawa.JPG
picha juu Mkwawa huyu ni mtu wa iringa umeona alivyo vaa

zanzibar_Tipu_Tib_1880-1900_scaled.jpg
picha juu..TipTip huyo ni mfanya biashara mkubwa wa utumwa alikuwa mzaniabari lakini sio mwarabu umeona alivyoo vaa
 
Chabuso,

Ikiwa hujui history ndio unasikiliza mastori ya watu, hapo wewe nikikuuliza Tip Tip jin alake hasa alikuwa anaitwa nai huwezi kujuwa. kama unajuwa litaje please,

huyo alikuwa mzanzibari sasa lifikaje huko mrima? kama unajuwa histori sema
 
Kinachoisumbua Zanzibar ni Uarabu na Uafrika. Pro-Arabs (Wazanzibari) (akina Maalim Seif) hawataki Muungano while Pro-Africans (Wazanzibara) ndio wanaotaka Muungano! Otherwise, inakuwaje mtu mzima na akili zake kumtetea kibaraka wa Sultani Mohamed Shamte?
"wacha kupotosha ukweli, hakuna pro arab wala pro African hapa, wengi wa waZanzibari kwa umoja wetu hatuutaki muungano huu (utawalawa wa Tanganyika dhidi ya Zanzibar), kama kweli mnaupenda muungano basi na tuendeni kwenye mkataba au na tubakie kama majirani wema. kama utawasikiliza hata hao ccm znz basi wanachokitaka pia ni "mkataba" tatizo lugha tu wanazopitia za mzungusho. ndugu yangu LordJustice1! hakuna mZanzibari yeyote aliye tayari kwa muungano wa serikali moja! ingiza katika akili yako hiyo.... Tanganyika na Zanzibar ni nchi mbili tofauti, Alhaj Jumbe, Shk Idriss Abdulwakil, Dr. Salmin Amour, na Dr. Amani Karume wote walitaka "mkataba" seuze Karume Sn. mwenyewe ambaye hadi anafariki hakuwa akipatana na baba yenu wa taifa (hawakuwa wakizungumza hasa) .... Unajua kwa sababu gani??"
 
Back
Top Bottom