Mnh! Mheshimiwa ni katika serikali gani hiyo? Maana ktk kumbukumbu zangu serikali halali ya wazanzibari iliumdwa mwaka 1964 Baada ya mapinduzi matukufu ya January 12, mwaka 1964, huyu waziri mkuu anayeongea mbele ya rais ni Wa serikali ipi? Na alikuwa anaongea mbele ya rais Yupii? Au katibu mkuu Wa UNO? Na akiiwakilisha serikali ya nani? Unajua hadi Leo Palestina wanapigania kiti UN? Kwa kuwa siyo taifa huru?
Mapinduzi matukufu ya Zanzibar yalifanyika mwaka 1964 chini ya uongozi wa Field Marshall Okello.Bwana shamte alikuwa akiwakilisha serekali ya kidhalimu ya kisultan.
Mnh! Mheshimiwa ni katika serikali gani hiyo? Maana ktk kumbukumbu zangu serikali halali ya wazanzibari iliumdwa mwaka 1964 Baada ya mapinduzi matukufu ya January 12, mwaka 1964, huyu waziri mkuu anayeongea mbele ya rais ni Wa serikali ipi? Na alikuwa anaongea mbele ya rais Yupii? Au katibu mkuu Wa UNO? Na akiiwakilisha serikali ya nani? Unajua hadi Leo Palestina wanapigania kiti UN? Kwa kuwa siyo taifa huru?
Mwanzisha uzi mmbishi kweli, kumbe Shamte alikua chini ya Sultani? Naomba kujua, huyu mara baada ya mapinduzi alikua upande gani? Kama ndio lengo lenu kurudisha usultani Zanzibar endeleeni ila chonde chonde, ugaidi hatuupendi huku, msije mkatutengenezea wakimbizi wengine tena, WaCongo, Rwanda na Burundi wanatosha.
Mazindu Msambule
Kwa nyinyi watanganyika sulatan ni mbaya kwa sisi wazanzibari ni mzuri tena sana sana sana kupita kipimo,
leo hii ukiwauliza wazanzibari sio wazanzibara (wazanzibara waliletwa kufanya makazi tu) nani bora awe mtawala wa zanzibar....sultan au tanganyika....basi mia fil mia watachaguwa sulatan.
sisi wazanzibari hatusikii kama ni waafrika the way u ppl think u are
Kwa ufupi tu Mazindu Msambule, sisi wazanzibari hatuna problem na sulatan na hilo ninakuomba uwaambie watanganyika wenzako woooooooooote, tia magazeti kauli hiyo
Nyinyi watanganyika ni mahuluku shida tu, ugaidi wenu umo ndnai ya vyama vyenu vya siasa CCM, CDM na vitakavokuja baadae, humo ndio munamoteswa na kuuliwa huku munapiga makofi
Last ujuwe kila unaposoma makala zangu mimi kama mzanzibari ni PRO SULATAN 100% na hatutaki muungano na tanganyika
bora kutawaliwa na waarabu matajiri na wenye kujuwa thamani ya mali na vitu kuliko watanganyika masikini na wasiojuwa thamani ya mali na vitu................kazi yenu udini njaa tu..........
Huyo bwana wenu sultani hatarudi kamwe! hata muungano ukivunjika hatarud, bora Tanganyika iitawale pemba kwa nguvu kuliko mwarabu kurudisha usultani wake!bora kutawaliwa na waarabu matajiri na wenye kujuwa thamani ya mali na vitu kuliko watanganyika masikini na wasiojuwa thamani ya mali na vitu................kazi yenu udini njaa tu..........
Ama kweli muheshimiwa wewe huna kumbu kumbu, kwahisani yako funguwa tena vitabu ikiwa huna bora uulize
Au tuseme kuna mushkila kidogo wa kilugha umeshindwa kumuelewa Ex-Mhe Prime Minister wa Zaiznabr huru anazungumzia nini?
AU NDIO JAZBA AS USUAL ............????????????????
Mnh! Mheshimiwa ni katika serikali gani hiyo? Maana ktk kumbukumbu zangu serikali halali ya wazanzibari iliumdwa mwaka 1964 Baada ya mapinduzi matukufu ya January 12, mwaka 1964, huyu waziri mkuu anayeongea mbele ya rais ni Wa serikali ipi? Na alikuwa anaongea mbele ya rais Yupii? Au katibu mkuu Wa UNO? Na akiiwakilisha serikali ya nani? Unajua hadi Leo Palestina wanapigania kiti UN? Kwa kuwa siyo taifa huru?
Huyo bwana wenu sultani hatarudi kamwe! hata muungano ukivunjika hatarud, bora Tanganyika iitawale pemba kwa nguvu kuliko mwarabu kurudisha usultani wake!
Huyo bwana wenu sultani hatarudi kamwe! hata muungano ukivunjika hatarud, bora Tanganyika iitawale pemba kwa nguvu kuliko mwarabu kurudisha usultani wake!
... sisi wazanzibari hatuna problem na sulatan ...Last ujuwe kila unaposoma makala zangu mimi kama mzanzibari ni PRO SULATAN 100% ...