rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Alihamia RFA kitambo kweli nadhani wengi wamemfahamia kule ila baadae alihamia Arusha sijui radio gani, RIP PRINCE BAINAkulikuwa na sauti nziito ikisikika "PRIIINCE BAINA KAMUKULU--AFRICA BAMBATAA,kumbe alihamia Rfa?
Dar es salaam Ni kubwa hii mkuu. Fanya uje uone mwenyewe siku moja, usifikiri Kama kijijini kwenu watu wanajua kila kitu kinachoendelea hapa.
so sad news...mwanzo kabisa alikuwa radio free africa...sijui mpaka mauti yanamfika alikuwa wapi?...
kulikuwa na sauti nziito ikisikika "PRIIINCE BAINA KAMUKULU--AFRICA BAMBATAA,kumbe alihamia Rfa?
Wa Wapi?
so sad news...mwanzo kabisa alikuwa radio free africa...sijui mpaka mauti yanamfika alikuwa wapi?...
Dar es salaam Ni kubwa hii mkuu. Fanya uje uone mwenyewe siku moja, usifikiri Kama kijijini kwenu watu wanajua kila kitu kinachoendelea hapa.