TANZIA Prince Baina Kamukulu afariki dunia

TANZIA Prince Baina Kamukulu afariki dunia

Ndiye alikua akisimlia muvi za kihindi kipindikile rfa?

Daaaaaah poleni wafiwa.
 
Unajiona kuishi dar umemaliza kila kitu eeh!
Kuna maisha zaidi ya hayo ya hapo dar unayojivunia nayo

RIP Baina.....

Achana na hili PAGANI we huoni hata jina lake tu?
 
Taarifa zilizonifikia hivi punde ni kuwa mtangazaji wa siku nyingi nchini, ndugu yetu Baina Kamukulu, amefariki ghafla nyumbani kwake Kigamboni DSM.

Wenye taarifa zaidi mtujuze.

attachment.php

RIP Prince, he was cute. Pole kwa familia yake
 
RIP kamukulu,haya mazoezi yawe yanaambatana na check up hasa ya mapigo ya moyo
 
dah! nilikua nikisikiliza sana rfa enzi hizo kwenye kile kipndi cha muvi za kihindi jamaa alikua dizain ya mkandala rufufu kwa sound nyingi.

rip price kamukuru
 
Hivi ndio huyu alikuwa anaendesha kipindi cha nyimbo za kihindi star tv?
 
Dar es salaam Ni kubwa hii mkuu. Fanya uje uone mwenyewe siku moja, usifikiri Kama kijijini kwenu watu wanajua kila kitu kinachoendelea hapa.

mamtu ya dar mnadharau sana.
 
RIP Prince Baina Kamkulu na nyimbo zako za kihindi.
 
Back
Top Bottom