TANZIA Prince Baina Kamukulu afariki dunia

R.I.P bro kamukulu..nimepokea kwa mshtuko taarifa hiz..nakukumbuka sana tulikua wote na baadae tukawa wote tena arusha pale 77 hotel kwenye bakulutu kila jmos na then tukakutana tena mwana then wote tukarudi dar..so sad!

.....Mkuu nimesikitika sana kwa kuwa nasafari ya Dar nitafika Azam media kutoa rambi rambi yangu kwa familia...

....dah pale Picnic Arusha tulipenda sana kuusikiliza wimbo wa JB Mpiana Douglas Ilumbe PRINCE KAMUKULU aliuimba sana huu wimbo...Chinga pale kaunta ilikuwa balaa

RIP Brother Kamukulu
 
R. F. A ya sasa sio hile ya zamani. R. I. P baina kamukulu
 
Dah ...namkumbuka zaidi akiwa na my friend Amina kwenye Afrika Bambataa na DJ Charles ...RIP brother ...
 
Dah nakumbuka mwanzoni mwa miaka ya 2000 pale clouds akiwa na Mr.c charz mamiji na marehemu amina chifupa ktk kipindi cha africa bambataa
Kipindi icho sebene la kufa mtu, alikuwa anaunga sokuos mpaka baaaasi.umenifanya niikumbuke wimbo WA Marie poul na wenge el paris
 
alikua one of the cloudsfm star.... jembe haswaa

rip
 
Nilisoma naye Tabora. goodbye my school mate
 
Baina Kamukulu amezikwa nyumbani kwao, manispaa ya Bukoba kata ya Kibeta.


Mjane wa Marehemu


Mtoto wa marehemu


Mjane wa marehemu

Kaka wa marehemu
 

Attachments

  • k1.png
    137.5 KB · Views: 876
  • k2.png
    128.6 KB · Views: 877
  • k3.png
    84.7 KB · Views: 860
  • k4.png
    106.7 KB · Views: 878
  • k5.png
    99 KB · Views: 870
  • k6.png
    104.2 KB · Views: 874
Hii picha imeniuma sana,sio mchezo kumpoteza mume hasa mliyependana kwa dhati.
Pole sana mjane wa Prince Baina Kamukulu.
 

Attachments

  • 1448551483912.jpg
    40.4 KB · Views: 201
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…