ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,326
- 8,505
Habari Wakuu!
Nimepokea taarifa sasa hivi kwamba aliyekuwa mtangangazaji wa Radio Free Africa na MC maarufu Baina Kamukuru amefariki dunia huko jijini Dar es Salaam
Mliko Dar plz naomba uthibitisho wa taarifa hizi
Kama ni kweli RIP Baina Kamkuru!
===
Habari za kifo ni cha ndugu yetu mpendwa zimethibitishwa na RFA. Pumzika kwa amani.
Kifo chake cha ghafla, alikuwa anafanya mazoezi ya viungo, akadondoka ghafla, alipowahishwa Hospitali akakata roho.
Marehemu Prince enzi za uhai wake
Prince Baina akiwa na watoto wake
Nimepokea taarifa sasa hivi kwamba aliyekuwa mtangangazaji wa Radio Free Africa na MC maarufu Baina Kamukuru amefariki dunia huko jijini Dar es Salaam
Mliko Dar plz naomba uthibitisho wa taarifa hizi
Kama ni kweli RIP Baina Kamkuru!
===
Habari za kifo ni cha ndugu yetu mpendwa zimethibitishwa na RFA. Pumzika kwa amani.
Kifo chake cha ghafla, alikuwa anafanya mazoezi ya viungo, akadondoka ghafla, alipowahishwa Hospitali akakata roho.
Marehemu Prince enzi za uhai wake
Prince Baina akiwa na watoto wake
Baina Kamukulu amezikwa nyumbani kwao, manispaa ya Bukoba kata ya Kibeta.
![]()
![]()
Mjane wa Marehemu
![]()
![]()
Mtoto wa marehemu
![]()
Mjane wa marehemu
![]()
Kaka wa marehemu