Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dube siyo mchezaji wa kucheza Ken Gold kwa mkopo. Achilia mbali kununuliwa.Basi tutampeleka kwa mkopo KenGold dirisha dogo
Ken Gold wao ndio dampo la kupewa vibovu sio?Basi tutampeleka kwa mkopo KenGold dirisha dogo
Kumbe anatakiwa akose kose mara ngapi ndio ahukumiwe?Ni mapema sana kumhukumu Prince Dube kutokana na mfumo wa uchezaji wa Yanga pale mbele, tangu mwalimu Gamondi akabidhiwe timu.
muUsijali maoni yako yamepokelewa.
Kama management tutaangalia jinsi ya kuzungumza na Kayoko tuone namna ya kumsaidia Mpumelelo.
Kuna haja ya Kayoko amtafutie penati ya kiufundi ili walau mwana atoe gundu.
Maana hivi hivi mambo hayaendi hata la offside mwanetu ameshindwa ku skoo.
Angefunga la offside marefa wote ni familia wangeli bless kama walivyofanya kwa Baleke.
Na akikaa vibaya dirisha dogo litamkuta akiwa na hizo kosa kosa zake bila goli.
Dube bila kufanyiwa hisani, kumuona anafunga labda ramadhaniUna maumivu makali mkuu
Unalia kama demu asiyefikishwa kileleni
Yanga itakuuwa
mu
Baada ya kuwapiga kimoja cha nguruwe ndugu makovu alipotea jukwaani.Una maumivu makali mkuu
Unalia kama demu asiyefikishwa kileleni
Yanga itakuuwa
mu
Huwezi kuangalia mpira ukiwa na stress za madeni na ukaelewa kinachoendelea.Baada ya kuwapiga kimoja cha nguruwe ndugu makovu alipotea jukwaani.
Sasa hivi ameanza kurudi mdogo mdogo.
Hakuna mchezaji wetu aliyefunga.Huwezi kuangalia mpira ukiwa na stress za madeni na ukaelewa kinachoendelea.
Nitajie mchezaji wenu aliyefunga hilo bao
Sasa kama hakuna mchezaji wenu aliyefunga, hiyo dhana ya kusema mlitupiga inakujaje?Hakuna mchezaji wetu aliyefunga.
Makolo kwa kuwa mnatupenda mkaona mjifunge kwa ajili yetu.
Baada ya hapo makolo mkaanza vikao vya wazee na vilio juu.
Na wewe ndugu makovu ukapotea kabisa jukwaani.
Kwa sasa baada ya maumivu kuisha naona unarudi kwa kasi.
Dube ndo top scorer wa msimu huuDube bila kufanyiwa hisani, kumuona anafunga labda ramadhani
Baleke tayari ashapigwa jeki gundu imetoka saizi tunamuangalia maendeleo yake kwenye mechi zinazofuata.
Hii ndio nature ya timu yenu.
Mashabiki mnahitaji supu ili mje uwanjani, na wachezaji vilevile wanahitaji magoli ya hisani ili waendelee kubaki kwenye piki.
Kwaiyo nyie mlisajili vichaa wanajifunga wenyewe na kutupa pointsSasa kama hakuna mchezaji wenu aliyefunga, hiyo dhana ya kusema mlitupiga inakujaje?
Kati ya simba na yanga nani alichukua point tatu katika mchezo wa tarehe 19?Sasa kama hakuna mchezaji wenu aliyefunga, hiyo dhana ya kusema mlitupiga inakujaje?