Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mapema kivipi mechi ya 8 hii hana goli hata moja? Hata pamba kashindwa kuwafunga? Mbona wengine wanafunga? Mbona baleke kafunga?Ni mapema sana kumhukumu Prince Dube kutokana na mfumo wa uchezaji wa Yanga pale mbele, tangu mwalimu Gamondi akabidhiwe timu.
Huo utop skoa labda upatikane kwa njia ambayo wote tunaijuaDube ndo top scorer wa msimu huu
Kwa kuwa ni mbumbumbu utabisha
Umbumbumbuni hamuangalii performance ya
MUKWALA- striker goi goi
Mtale_ mbilikimo
Nouma_ usajili wa ovyo
Okajefa_ manywele asijua mpira
We upo unabeza Yanga, bingwa, anaongoza ligi, amekufunga mara 4 mfululizo
Tulikuwa tunajua wakumchunga ni Pacome na Azizi Ki tukamsahau KayokoKwaiyo nyie mlisajili vichaa wanajifunga wenyewe na kutupa points
Au tumewahonga
dube huyu huyu anayezidiwa magoli na huseni mwalimu anayecheza singida fountain gate? Dube huyu huyu ambaye mechi 8 mfululizo hajafunga hata goli la offside? Hata molinga na sapong hawakuwa wabovu hivo?Dube siyo mchezaji wa kucheza Ken Gold kwa mkopo. Achilia mbali kununuliwa.
Akiwa top scoa mimi natoa ofa ya supu ya mamba pale utiHuo utop skoa labda upatikane kwa njia ambayo wote tunaijua
Lakini kwa personal struggles hatoboi hata goli 7 msimu huu hafikishi.
Kuongoza ligi Yanga ni matokeo ya makosa ya kibinadamu hilo nalo sio mjadala
Swali lina option 3 usiliweke fixed kwenye majibu mawili ambayo kati yao hakuna jibu sahihiKati ya simba na yanga nani alichukua point tatu katika mchezo wa tarehe 19?
Kayoko ndo akafunga like goli Bora la msimuTulikuwa tunajua wakumchunga ni Pacome na Azizi Ki tukamsahau Kayoko
Dube ana misimu mingapi hapa bongo?Ni mapema sana kumhukumu Prince Dube kutokana na mfumo wa uchezaji wa Yanga pale mbele, tangu mwalimu Gamondi akabidhiwe timu.
Dube mechi 7 ana goli ngapi mpaka sasa naoma umejambika hovyo 🤣Dube ndo top scorer wa msimu huu
Kwa kuwa ni mbumbumbu utabisha
Umbumbumbuni hamuangalii performance ya
MUKWALA- striker goi goi
Mtale_ mbilikimo
Nouma_ usajili wa ovyo
Okajefa_ manywele asijua mpira
We upo unabeza Yanga, bingwa, anaongoza ligi, amekufunga mara 4 mfululizo
Bila Kayoko ile mechi mlikuwa mnapoteza.Kayoko ndo akafunga like goli Bora la msimu
Kafunga metachaKayoko ndo akafunga like goli Bora la msimu
Ana struggle Mpape pale Madrid,Dube ana misimu mingapi hapa bongo?
Na kijili.Tulikuwa tunajua wakumchunga ni Pacome na Azizi Ki tukamsahau Kayoko
Mbappe msimu wake wa kwanza pale spainAna struggle Mpape pale Madrid,
Ww upo Tanganyika unabishana kuhusu dube
Tungepoteza vip mlifunga goli mkanyimwa?Bila Kayoko ile mechi mlikuwa mnapoteza.
Na ndio moja ya sajili ambayo naiogopa pale Yanga.
top scorer ana magoli mangaqi au nimesomesoma vibaya ulimaanisha top scorerless?Dube ndo top scorer wa msimu huu
Kwa kuwa ni mbumbumbu utabisha
Umbumbumbuni hamuangalii performance ya
MUKWALA- striker goi goi
Mtale_ mbilikimo
Nouma_ usajili wa ovyo
Okajefa_ manywele asijua mpira
We upo unabeza Yanga, bingwa, anaongoza ligi, amekufunga mara 4 mfululizo
Mpape ana goli ngapi Madrid? Kasajiliwa Kwa pesa ngapi?dube huyu huyu anayezidiwa magoli na huseni mwalimu anayecheza singida fountain gate? Dube huyu huyu ambaye mechi 8 mfululizo hajafunga hata goli la offside? Hata molinga na sapong hawakuwa wabovu hivo?
Huko umbumbumbuni ligi imeisha?top scorer ana magoli mangaqi au nimesomesoma vibaya ulimaanisha top scorerless?
Hafungi yule. Ile ni sajili ya mihemko lazima itatota tu.Dube mechi 7 ana goli ngapi mpaka sasa naoma umejambika hovyo 🤣