Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Naona umeanza kufananisha SMG na Rungu eti kwakua zote ni silahaM
Mpape ana goli ngapi Madrid? Kasajiliwa Kwa pesa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umeanza kufananisha SMG na Rungu eti kwakua zote ni silahaM
Mpape ana goli ngapi Madrid? Kasajiliwa Kwa pesa ngapi?
MUKWALA- ana goli ngapi?Naona umeanza kufananisha SMG na Rungu eti kwakua zote ni silaha
top scorer hadi sasa hivi ni mwalimu wa fountain gate. Dube tangu aje tanzania miaka 100 iliyopita hajawahi kuwa top scorer hata kwa bahati mbaya zaidi ya kuwa gari la mkaa trip moja barabarani trip moja gereji.Dube ndo top scorer wa msimu huu
Kwa kuwa ni mbumbumbu utabisha
Umbumbumbuni hamuangalii performance ya
MUKWALA- striker goi goi
Mtale_ mbilikimo
Nouma_ usajili wa ovyo
Okajefa_ manywele asijua mpira
We upo unabeza Yanga, bingwa, anaongoza ligi, amekufunga mara 4 mfululizo
Kwani una jicho chongo?Tungepoteza vip mlifunga goli mkanyimwa?
Kwani MUKWALA- anacheza ligi ya Djiboutitop scorer hadi sasa hivi ni mwalimu wa fountain gate. Dube tangu aje tanzania miaka 100 iliyopita hajawahi kuwa top scorer hata kwa bahati mbaya zaidi ya kuwa gari la mkaa trip moja barabarani trip moja gereji.
Me sikuona kama makolo walifunga goli kwenye ule mchezoKwani una jicho chongo?
Au uliangalia mechi ukiwa ushakula miwa yako?
Huwezi ona kwa vile ulikuwa unateswa na ule mwiko wenu nyuma daima mbeleMe sikuona kama makolo walifunga goli kwenye ule mchezo
MUKWALA ANA GOLI MOJA KWENYE LIGI KUU DUBE HATA LA OFFSIDE HANA SO LITAJE JINA LA MUKWALA KWA HESHIMA.Kwani MUKWALA- anacheza ligi ya Djibouti
Mbona mbumbumbu mnasahau wachezaji wenu
Haya hongera mbumbumbuHuwezi ona kwa vile ulikuwa unateswa na ule mwiko wenu nyuma daima mbele
Haya mbumbumbuMUKWALA ANA GOLI MOJA KWENYE LIGI KUU DUBE HATA LA OFFSIDE HANA SO LITAJE JINA LA MUKWALA LA HESHIMA.
kwahiyo tunafanyaje sasa tunamrudisha molinga au tunaendelea kukomaa na dube a.k.a gari la mkaa trip kisesa trip mvomero likizima kuwaka januari 2025.Haya mbumbumbu
Basi futa machozi acha kulia
1 na assist 2MUKWALA- ana goli ngapi?
Tunamsajili Kijilikwahiyo tunafanyaje sasa tunamrudisha molinga au tunaendelea kukomaa na dube a.k.a gari la mkaa trip kisesa trip mvomero likizima kuwaka januari 2025.
Kijili anatosha pale Yanga1 na assist 2
Uliza kacheza mechi ngapi
Mpumelelo kacheza mechi nyingi na dakika nyingi kumzidi Mukwala.
Mpumelelo kazidiwa idadi ya magoli na Che Malone.
Ungeoneje wakati akili yako haikuwa kwenye focus ya mchezo badala yake ilikuwa kwenye mawazo ya supuMe sikuona kama makolo walifunga goli kwenye ule mchezo
Kuliko Dube, bora hata huyoKijili anatosha pale Yanga
Anajua kufunga hadi mtani Simba
Basi Kijili tunaye na tunatamba naeKuliko Dube, bora hata huyo
Mchezaji wa Simba, Kijili aliifungia Simba goli zuriUmgeoneje wakati akili yako haikuwa kwenye focus ya mchezo badala yake ilikuwa kwenye mawazo ya supu
sawa kabisa nakubaliana na wewe halafu dube tumpeleke kwa mkopo malimao fc.Tunamsajili Kijili
Pale atafunga sana
Aaah Dube anawataka Makolo awapige Yale mashuti cavesawa kabisa nakubaliana na wewe halafu dube tumpeleke kwa mkopo malimao fc.