Malaika wa Waha
JF-Expert Member
- Sep 13, 2024
- 319
- 885
Ana magoli Sita(6) La liga nyuma ya Lewandowski mwenye magoli 13M
Mpape ana goli ngapi Madrid? Kasajiliwa Kwa pesa ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana magoli Sita(6) La liga nyuma ya Lewandowski mwenye magoli 13M
Mpape ana goli ngapi Madrid? Kasajiliwa Kwa pesa ngapi?
Chomoa sasa ule mwiko wenu huko nyuma ulaleHaya hongera mbumbumbu
Basi futa machozi acha kulia
Mashuti kave mechi ya 8 hii hata goli la offside hanaAaah Dube anawataka Makolo awapige Yale mashuti cave
Griezmann msimu wa kwanza Barcelona hakufikisha magoli 10 ila amekaa misimu mingi tu pale Laliga na Atletico.Mbappe msimu wake wa kwanza pale spain
Je dube ana misimu mingapi hapa bongo? Au mwiko unakutesa
Anzisha uzi wa mechi yenu na Mashujaa.Usijali maoni yako yamepokelewa.
Kama management tutaangalia jinsi ya kuzungumza na Kayoko tuone namna ya kumsaidia Mpumelelo.
Kuna haja ya Kayoko amtafutie penati ya kiufundi ili walau mwana atoe gundu.
Maana hivi hivi mambo hayaendi hata la offside mwanetu ameshindwa ku skoo.
Angefunga la offside marefa wote ni familia wangeli bless kama walivyofanya kwa Baleke.
Na akikaa vibaya dirisha dogo litamkuta akiwa na hizo kosa kosa zake bila goli.
Unafananisha la liga na ligi yetu hii ya mchangani? We mpumbuvu wa akili na kimoGriezmann msimu wa kwanza Barcelona hakufikisha magoli 10 ila amekaa misimu mingi tu pale Laliga na Atletico.
Sasa unashangaa Dube
Wakati unajibu majibu ya Mbappe hukujua ile ni La liga. Ukiona ligi yetu ni ya mchangani basi na wachezaji ni wa mchangani kwahiyo ni viel vileUnafananisha la liga na ligi yetu hii ya mchangani? We mpumbuvu wa akili na kimo
Dube tunae hapa bongo msimu wa 4 huu ila mpaka sasa hajawahi kuwa top scorer wala kuchukua kiatu hapo azam mpaka anaenda kuzeeka hapo kwenu mwiko nyumaWakati unajibu majibu ya Mbappe hukujua ile ni La liga. Ukiona ligi yetu ni ya mchangani basi na wachezaji ni wa mchangani kwahiyo ni viel vile
Na Griezmann ilikuwa hivyo, pale Barcelona alipambwa sana ila msimu wake wa kwanza hakufikisha goli 10 pamoja na uwepo wa mafundi pale BarcelonaDube tunae hapa bongo msimu wa 4 huu ila mpaka sasa hajawahi kuwa top scorer wala kuchukua kiatu hapo azam mpaka anaenda kuzeeka hapo kwenu mwiko nyuma
Yule dogo mwalimu toka singida black stars msimu wake wa kwanza bara tayari anaongoza kwa ufungaji tena ametokea ligi ya chini hapo zenji
Kwa mchezaji kama dube mlimpamba sana atafunga mpaka achoke tena uwepo wa chama aziz k na pakome lakini mpaka sasa anaongoza kulalamika kichwa kichwa 🤣
Wabongo kweli mpira hatujui! Mchezaji amekaa zaidi ya miezi 6 bila kucheza then mnataka acheze glafla kwenye kiwango cha juu😀👐Asipoangalia nae atamaliza msimu na magoli matatu
Amesajiliwa kwa hela nyingi sana,shida nini?
Umekuwa galasa kuliko Sarpong na Moringa
Mpape [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji706].M
Mpape ana goli ngapi Madrid? Kasajiliwa Kwa pesa ngapi?
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji23]Anzisha uzi wa mechi yenu na Mashujaa.
Nawatakia ushindi timu ya wazee wa mapigo na mwendo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dube tunae hapa bongo msimu wa 4 huu ila mpaka sasa hajawahi kuwa top scorer wala kuchukua kiatu hapo azam mpaka anaenda kuzeeka hapo kwenu mwiko nyuma
Yule dogo mwalimu toka singida black stars msimu wake wa kwanza bara tayari anaongoza kwa ufungaji tena ametokea ligi ya chini hapo zenji
Kwa mchezaji kama dube mlimpamba sana atafunga mpaka achoke tena uwepo wa chama aziz k na pakome lakini mpaka sasa anaongoza kulalamika kichwa kichwa [emoji1787]