Prince Dube nae ametupiwa majini?

top scorer hadi sasa hivi ni mwalimu wa fountain gate. Dube tangu aje tanzania miaka 100 iliyopita hajawahi kuwa top scorer hata kwa bahati mbaya zaidi ya kuwa gari la mkaa trip moja barabarani trip moja gereji.
 
top scorer hadi sasa hivi ni mwalimu wa fountain gate. Dube tangu aje tanzania miaka 100 iliyopita hajawahi kuwa top scorer hata kwa bahati mbaya zaidi ya kuwa gari la mkaa trip moja barabarani trip moja gereji.
Kwani MUKWALA- anacheza ligi ya Djibouti
Mbona mbumbumbu mnasahau wachezaji wenu
 
Kwani MUKWALA- anacheza ligi ya Djibouti
Mbona mbumbumbu mnasahau wachezaji wenu
MUKWALA ANA GOLI MOJA KWENYE LIGI KUU DUBE HATA LA OFFSIDE HANA SO LITAJE JINA LA MUKWALA KWA HESHIMA.
 
Haya mbumbumbu
Basi futa machozi acha kulia
kwahiyo tunafanyaje sasa tunamrudisha molinga au tunaendelea kukomaa na dube a.k.a gari la mkaa trip kisesa trip mvomero likizima kuwaka januari 2025.
 
Reactions: Tui
MUKWALA- ana goli ngapi?
1 na assist 2

Uliza kacheza mechi ngapi

Mpumelelo kacheza mechi nyingi na dakika nyingi kumzidi Mukwala.

Mpumelelo kazidiwa idadi ya magoli na Che Malone.
 
kwahiyo tunafanyaje sasa tunamrudisha molinga au tunaendelea kukomaa na dube a.k.a gari la mkaa trip kisesa trip mvomero likizima kuwaka januari 2025.
Tunamsajili Kijili
Pale atafunga sana
 
1 na assist 2

Uliza kacheza mechi ngapi

Mpumelelo kacheza mechi nyingi na dakika nyingi kumzidi Mukwala.

Mpumelelo kazidiwa idadi ya magoli na Che Malone.
Kijili anatosha pale Yanga
Anajua kufunga hadi mtani Simba
 
Umgeoneje wakati akili yako haikuwa kwenye focus ya mchezo badala yake ilikuwa kwenye mawazo ya supu
Mchezaji wa Simba, Kijili aliifungia Simba goli zuri
Lakini Kayoko akasema eti ni goli la Yanga

Mbumbumbu inawauma hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…