JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Hasira ya nini!? Unataka kusema hiyo ya kutokuwa kwenye hirachy ya urithi ndio kaijua leo!?Labda ana hasira ya kuondolewa kwenye hirachy ya urithi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasira ya nini!? Unataka kusema hiyo ya kutokuwa kwenye hirachy ya urithi ndio kaijua leo!?Labda ana hasira ya kuondolewa kwenye hirachy ya urithi
Kaamua tu kuuweka ukweli hadharani. Hata huyo Prince William alikuwa sawa kumuomba baba yao hivyo.Tena kamchongea na Prince William kuwa wote walimuomba baba yao asimuoe Camilla
Humu 'much knows' ni wengi mno.Tena wa Uingereza! Kuna masikhara mengi sana humu JF.
Prince Harry aishiwe hela? Hamna kitu kama hicho. Advance tu ya hicho kitabu itakuwa mpunga mrefu balaa.Amechanganyikiwa tu ameishiwa hela
Naona mke wake ana matumizi makubwa sana
Ila dogo anaelekea kubaya sijui hata kama atakuja kwenye Coronation ya baba yake maana kawasagia kunguni wote
Na anasema alimwambia baba yake usimuoe Camilla daa
Sasa ataongea nini na mama yake wa kambo?
I didn't mean thatPrince Harry aishiwe hela? Hamna kitu kama hicho. Advance tu ya hicho kitabu itakuwa mpunga mrefu balaa.
Rejea post ya 155 mkuuHumu 'much knows' ni wengi mno.
Wamejibu politely sana. Nadhani ni katika kutafuta world credibility kwa serikali yao kuwa hawahusiki na ugaidi tena kwa namna yoyote. Wangekuwa bado hawajakamata usukani huko Afghanistan, wangeweza kuweka vitisho vya kulipiza kisasi.Kwamba wakati Harry anaserve Afghan, Taliban hawakuwepo, hivyo kuna uwezekano hao 25 waliouliwa ni wananchi wa kawaida wasio na hatia
Kwa utani nilijisemea, kweli Taliban wamekua, yaani wanajibu kwa heshima hivyo?Wamejibu politely sana. Nadhani ni katika kutafuta wirld credibility kwa serikali yao kuwa hawahusiki na ugaidi tena kwa namna yoyote. Wangekuwa bado hawajakamata usukani huko Afghanistan, wangeweza kuweka vitisho vya kulipiza kisasi.
Sawa Mkuu. Kwa kuongezea, watu wengi hawajui kwamba upande mama yao na kina Harry (Diana) ambao wanajulikana kama Spencers pia ni matajiri wakubwa.I didn't mean that
Hela anazo sana ila mirija mingi imekatwa kwa zile alizokuwa anapata wakati akiwa hapa [emoji636]
Mama yake kamuachia nyingi na hata mama yake Queen alimpa fungu kubwa tu na baba pia
Ila hata wewe kwa mfano ulikuwa unapewa 100m kwa mwezi hala mara ukaporomoka na kuwa na zile ulizonazo tu ni lazima ujiongeze ila utakuwa umeshuka mno
Ni kweli wameachiwa hela nyingi kwani mama tu aliwaachia £13m yeye na WillSawa Mkuu. Kwa kuongezea, watu wengi hawajui kwamba upande mama yao na kina Harry (Diana) ambao wanajulikana kama Spencers pia ni matajiri wakubwa.
Ni kweli wameachiwa hela nyingi kwani mama tu aliwaachia £13m yeye na Will
Na nyanya yake queen mother aliwaachia £10m
Baba nae akawapa £4.5m
Sio mbaya ila kama zinatoka tu na haziingii hapo lazima ajiongeze
Inasikitisha sana kuwachukulia watu uliowaua vitani kama kete za kwenye "draft". Sio kitu cha kujivunia.Wamemjibu kwa heshima sana ila wengine wamemlaani yeye na familia
Imagine mpaka ma commander wa UK wametoa tamko
Ila amekosea sana View attachment 2471920View attachment 2471921
Vibaya sana watu wanakataa kuwa anaweza kufulia sasa kama anajitanua hivyo na mke wake anataka high life whatever the costNa huwa wana matumizi makubwa
Hukumbuki wanajeshi wa [emoji631] huko Iraq walikuwa wanasema haina tofauti na kucheza game [emoji452] za kivitaInasikitisha sana kuwachukulia watu uliowaua vitani kama kete za kwenye "draft". Sio kitu cha kujivunia.
Hii inaonesha jinsi gani wanaotumwa kuua watu wanavyowachukulia wale wanaowaua.
Ben Saanane, Tundu Lissu na wengine waliopotezwa ndivyo walivyoonekana kwa wale madhalimu waliotumwa kuwatowesha.
Kwa utani nilijisemea, kweli Taliban wamekua, yaani wanajibu kwa heshima hivyo?
Wabongo hupenda kuropokaHajaondolewa katika urithi, he's 5th in the line of succession to the throne.