Prisca Kishamba unaanzisha vita vya mawe nawe unaishi nyumba ya vioo?

Tatizo jingine ninaloliona limekua kubwa sana,mashabiki wengi wa utopolo wanaweza kuwa na tabia za kishoga.

Utaona hata maoni yao kuhusu jezi.Ni kama wangetamani zitengenezwe blauzi,hapo watasifia sana.
Sasa suala ni ajabu wavulana na mijike ya yanga wakijadili sura ya mwanaume wa Kazi na wakitaka warembo kwenye soka.Mnataka kuanza kudai haki sawa na kwenye soka?
 
Ikitokea mashindano ya salamu kati ya onyango na max wetu wa JF. Onyango atashinda kwa shikamoo za kutosha.huku max akidaka salamu za kawaida mambo,niaje,hello,hujamboπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Umefanya nimecheka. Lol.

Rafiki au ulaji na maiyiinvairomenttii nayo yanasababisha kuzeeka huku bado mtu ni kijana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Halafu hawajaifafanua point ya prisca vizuri. Prrusca anataka umri sahihi wa onyango na sio sura yake
Yeleeeuwiiii!! Rafiki unaleta kizaa zaa ingine huku. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Umefanya nimecheka. Lol.

Rafiki au ulaji na maiyiinvairomenttii nayo yanasababisha kuzeeka huku bado mtu ni kijana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mkuu utani wa huko IG mbona kawaida sana,ungekuwa unaona utani wa Oscar Oscar JR si ungeitisha maandamano kabisa? Uspanic saaana na kupoteza muda kuwaza mambo ya mitandaoni
 
Mkuu utani wa huko IG mbona kawaida sana,ungekuwa unaona utani wa Oscar Oscar JR si ungeitisha maandamano kabisa? Uspanic saaana na kupoteza muda kuwaza mambo ya mitandaoni
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mkuu na usikute Onyango mwenyewe hata hajui kama wapo watu wanaomlilia namna hii. πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…