Prisca Kishamba unaanzisha vita vya mawe nawe unaishi nyumba ya vioo?

daah huyu demu alivyo na sura bayaaa pua kama sokwe anawezaje kucheka sura ya mwanaume
Wanaume wa Dar hakuna demu mbaya. Wewe unayo K?...wachezaji wa Mikia wamekauka kama kashata..wakavuuu kama kile Kizimbwe khaaa
 
Ungenogesha huu uzi kwa kuweka picha yake
 
Hakuna haja ya kwenda Kenya kumtafuta mama yake atwambia umri wake huyo Onyango ni kibabu ole wake asivunjike mguu maana hautaunga kutokana na umri mkubwa alio nao zaidi ya miaka 38
 
KwwKwe sura Andy Grayy wa Leicester City Anamshinda Messi ila shughuli uwanjani kilichompoza Jack Wilshire Ni Sura mpaka leo maybe huko Tanzania Kama mnaangalia sura na pia wanaoangalia sura za wezao wao pia hawana tofauti na binadamu wa kale kisayansi hiyo
 
Kwa Wilshire nini kilitokea mkuu?
 
Kwa Wilshire nini kilitokea mkuu?
. Kabla Jack hajaota ndevu alikuwa na hb balaa Sasa Kuna Kuna club ipo London inaitwa Marry Club Sasa jack hiyo club ilimpoza alikuwa akiitwa hb akavimba kichwa utozi mpaka uwanjani mwisho akaanza sigara uwanjani na mwisho kabisa tumemsahau sahivi mkuu hata cjui anachezea club gani
 
Duuh!! kapotea kabisa yaani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…