Prisoner 46664 Please Take Me to A Dinner Date (Nani Kuibuka Mshindi!)

dogo malizana na sharo wako kwanza...haya maji marefu yanavukwa na wanaojua kuogelea tu...hahahahah nani amenunaaaa
 

lolz!!..Ciello una mpango wa kusafiri??embu niambie mapema mamie..
 
Kesho na mimi nakuwa prisoner 57775, kwani nani hapendi kugombaniwa na vimwana,tena hapo kwenye 13 years naweka 22 afu nione ntakavyowabanduabandua lebo na uzee wangu huu. Mwe, afu huyo Prisoner 46664 mwenyewe mbona kapotea? Msije dhani ni jasiri kwa kupitisha hzo thirteen kumbe la kibisa and he could not do any better ohooo!
 
Last edited by a moderator:
lara 1 ka vp huu matnange tuufunge!!! mashosti wote wamekimbia...wanajidai kumtaka Prisoner 46664 kumbe hat uwezo wa kumseduce hawana...ka vp nipeni ushindi wangu wa mezani....hv mtu anajidai disent hat kwenye kumtokea men wa ukwee ka prisoner?? sasa wakienda chobis itakuwaje??? si ndo wale wa game za gizani...hahahahah...seducing a man is an art jamen
 
Last edited by a moderator:

This degree of honesty is unbeatable lara 1!!!..
 
Last edited by a moderator:
hahahahahah Prisoner 46664 sound hilo kuwa macho aseeee!!! si wamja mamamaaa wa midolari huyo atakwenda kukuumbua huko kwenye dinner....just pick a decent smart simple lady i.e Ciello and u wont regret it 4 the ret of ur life....

Character assasination hairuhusiwiii! We jipigie debe mwenyewe bila kumharibia mtu!
 

Hakifungwi kitu hapa! Watu tunatafakari tutoke vipi! Mwaga mavitu!
 
hahahahah haya bana ila mie naenda zangu kulala naona mashost wako wamekimbia...
Character assasination hairuhusiwiii! We jipigie debe mwenyewe bila kumharibia mtu!
 
Prisoner 46664 hivi ushawahi kupewa mambo adimu wewe! Mi nakaa mbali sana, Nichukulie chumba kabisaaa ili tukitoka dinner nipumzike humo! You can keep me company too! We will just Talk! LOL!
 
Last edited by a moderator:
Character assasination hairuhusiwiii! We jipigie debe mwenyewe bila kumharibia mtu!

hivi ni character assasination au amefanya ku expose the true colours, teh teh tih, nimepita tu,endeleeni na mechi yenu, naelekea chit chat
 
@Afu prisoner hujyi tu mambo mazuri niliyokuandalia! Let it be surprise! Yaani nakuja na zana zangu kabisaaaa kwenye pochi ikwemo Kitambaa, Asali, Iriki na Kisosa!!!!!!! Mambo ya Tanga haya! Vya nini hivo vitu vyote wewe nichague mie tu! Taiba haiburudish wala kurelax mwili!
 
hivi ni character assasination au amefanya ku expose the true colours, teh teh tih, nimepita tu,endeleeni na mechi yenu, naelekea chit chat

Baba V Ciello hakupi kitu hata ukiwa mshika pembe wakati prisoner anachinja ng'ombe unalo hiloooo!!!!!
 
Last edited by a moderator:
dogo malizana na sharo wako kwanza...haya maji marefu yanavukwa na wanaojua kuogelea tu...hahahahah nani amenunaaaa

tushaanza kutishiana nyau sio, we mwaga sera hizo nyingine mwembwe tu sijicifu bt he knows mekama unabisha muulize prisoner
 

we nawe usiilalie mlango wazi bahati ya mwenzio, hua havitunukiwi hivihivi kafanya kazi mwenzio ujue, nani kama prisoner narudia no one like u
 
hahahahah haya bana ila mie naenda zangu kulala naona mashost wako wamekimbia...

Bora umejitoa mwenyewe maana ngoma nzito hii!!!!!!!!!! LOLEST!
 
no ila mie ishu zangu za kutravel mara kwa mara so nikikupata nitasafiri kwa amani asee...nikubali basi tukapate hiyo dina...wapotezee kina lara 1 na Surprise hawana ishu....hahahahah

prisonetr huyo wa kutravel atakupasua nkichwa ,huyo mwingine mtafuta madini na migodi tu,the only option ya ukwee ni kwangu the only decent in this jukwaa, upewe nini tena zaidi ya milki yangu
 

Hahahaaaaaaaaaaaaa! Muache LL COO JF wetu!!!!!!! Hata aweje nimeshakolea mazimaaa! Ohh! Mamaaaaaa! We hata ukiwa NYAMPARA kabisaa nini prisoner hupati kitu!
 
sio nimejitoa nishazoea mtanange wa mashosti zaidi ya 10 kwa mwanaume mmoja afu mie ndo naibuka mshindi so hapa naona ka najipaka masizi bureee...ila prisoner jua deep down u hav a chance 2m so anytym u fil like just hola m hata kwa 1nit stand hahahahahahah
Bora umejitoa mwenyewe maana ngoma nzito hii!!!!!!!!!! LOLEST!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…