hahahahah shukuruni MUNGU nina usingizi ningemwaga sera mpaka wenyewe mjitoe...chezeya Ciello wewe...mwanamke kujiamini bana....
Hahahaaaaaaaaaaa! Baele hii Bamutu Baelewe!
ana nini? yupo yupoje hadi mnamgombania? mpambano mwema.
ana nini? yupo yupoje hadi mnamgombania? mpambano mwema.
@Afu prisoner hujyi tu mambo mazuri niliyokuandalia! Let it be surprise! Yaani nakuja na zana zangu kabisaaaa kwenye pochi ikwemo Kitambaa, Asali, Iriki na Kisosa!!!!!!! Mambo ya Tanga haya! Vya nini hivo vitu vyote wewe nichague mie tu! Taiba haiburudish wala kurelax mwili!
we nawe!!! hapa tunadili na prisoner...ww mzee wa migegedo nani anataka stress.....nyie ndo mnawala beki3...hahahahah
we nawe!!! hapa tunadili na prisoner...ww mzee wa migegedo nani anataka stress.....nyie ndo mnawala beki3...hahahahah
we nawe!!! hapa tunadili na prisoner...ww mzee wa migegedo nani anataka stress.....nyie ndo mnawala beki3...hahahahah
Prisoner baby mi siwezi rafu na hawa! Jst choose me i will show you some quality time and do some quality things to you! Najua unachohitaji sio afa na vizinga kama vya Ciello coz you got your own money! What you realy need ni mtu wa kukucare all the time na mie hilo jukumu ndo nimejivika!
Njoo tujipe raha!
utamu wa ngoma uingie uicheze
Hahahaaaaaaaa! Prisoner Mwanaume wa ukweli takes care of his girl!!!!! Jst take care of me n it will be my full time job to make you happy! Ill carter to you baby!
Kazi yangu ni kuhakikisha unapata what your heart desires!!!!! Ukija room nakupoke mkoba kwa mabusu teletele! Nakuvua viatu na soxi, mkanda na vilivobakia! Hapo nipo kwenye khanga moko, Tunastua kwanza na cha pole na uchovu wa kazi, Baade unanisimuli yote yaliojiri kazini, Im here to listen baby! Massage lazima, viti hivi vya mchina haviaminiki, Tunakula, Jioni zoezi linaendelea! Saa kumi cha asubuhi lazima! Hapo nishakuchaguli nguo za kazini! Yaani ssssssssssssssss!!!!!!!!
Hawa watoto moto huu hawauwezi! Wengine hivi ni vipaji sio kujifunza!
Ciello muache mzabzab apumue kaja kujionea tu mpambano
hahahahahah Prisoner 46664 sound hilo kuwa macho aseeee!!! si wamja mamamaaa wa midolari huyo atakwenda kukuumbua huko kwenye dinner....just pick a decent smart simple lady i.e Ciello and u wont regret it 4 the ret of ur life....
yupoje?? uliza ana nn?? anagombaniwa hadi na watoto wa kakobe chezeya prisoner ww...hahahahah
Hahahaaaaaa! You dont know what you are missing!