Prisoner 46664 Please Take Me to A Dinner Date (Nani Kuibuka Mshindi!)

Prisoner 46664 Please Take Me to A Dinner Date (Nani Kuibuka Mshindi!)

hahahahah shukuruni MUNGU nina usingizi ningemwaga sera mpaka wenyewe mjitoe...chezeya Ciello wewe...mwanamke kujiamini bana....

nani kajitoa wewe, endeleza hapa, usingizi kitu gani mbele ya prisoner, all timetable r subjective to changes except dina with prisoner
 
@Afu prisoner hujyi tu mambo mazuri niliyokuandalia! Let it be surprise! Yaani nakuja na zana zangu kabisaaaa kwenye pochi ikwemo Kitambaa, Asali, Iriki na Kisosa!!!!!!! Mambo ya Tanga haya! Vya nini hivo vitu vyote wewe nichague mie tu! Taiba haiburudish wala kurelax mwili!

Mmh..I can smell romance..
 
we nawe!!! hapa tunadili na prisoner...ww mzee wa migegedo nani anataka stress.....nyie ndo mnawala beki3...hahahahah

hahaha mie wala sina shida ya beki 3...mie najikamatia malaya wangu full burudani...mambo ya kununiana na mamsap ndani ya nyumba nani anayataka
 
we nawe!!! hapa tunadili na prisoner...ww mzee wa migegedo nani anataka stress.....nyie ndo mnawala beki3...hahahahah

Ciello muache mzabzab apumue kaja kujionea tu mpambano
 
we nawe!!! hapa tunadili na prisoner...ww mzee wa migegedo nani anataka stress.....nyie ndo mnawala beki3...hahahahah

Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Mazabzab wivu hana japo roho inamuuma kaamu kuja kutetea ufalme wake potelea pote! Prisoner aweze ana nini yeye ashindwe ana nini! Afu ana deal na post zako tu Ciello!!!!!!!! Hahahaaaaaaaaaaaaaaaa! Nimechekaje JF is never boring!

Haya umepata nyangumi hilo, papa tuachie sisi!
 
Last edited by a moderator:
hahahahah prisoner angalia usije ukaweka gari bond kwaajil ya dina tu....maji asili yake ni baridi hata yachemke vip yatapoa so b careful.....igweeee
Prisoner baby mi siwezi rafu na hawa! Jst choose me i will show you some quality time and do some quality things to you! Najua unachohitaji sio afa na vizinga kama vya Ciello coz you got your own money! What you realy need ni mtu wa kukucare all the time na mie hilo jukumu ndo nimejivika!

Njoo tujipe raha!
 
Remember you girls,......i will Be watching you.........vita vya panzi.....but always keep it real!
 
Hahahaaaaaaaa! Prisoner Mwanaume wa ukweli takes care of his girl!!!!! Jst take care of me n it will be my full time job to make you happy! Ill carter to you baby!

Kazi yangu ni kuhakikisha unapata what your heart desires!!!!! Ukija room nakupoke mkoba kwa mabusu teletele! Nakuvua viatu na soxi, mkanda na vilivobakia! Hapo nipo kwenye khanga moko, Tunastua kwanza na cha pole na uchovu wa kazi, Baade unanisimuli yote yaliojiri kazini, Im here to listen baby! Massage lazima, viti hivi vya mchina haviaminiki, Tunakula, Jioni zoezi linaendelea! Saa kumi cha asubuhi lazima! Hapo nishakuchaguli nguo za kazini! Yaani ssssssssssssssss!!!!!!!!

Hawa watoto moto huu hawauwezi! Wengine hivi ni vipaji sio kujifunza!

whoooohh!!,,,u had me goin wild right hea!!,,,daayymmmm!!
 
hahahahahah Prisoner 46664 sound hilo kuwa macho aseeee!!! si wamja mamamaaa wa midolari huyo atakwenda kukuumbua huko kwenye dinner....just pick a decent smart simple lady i.e Ciello and u wont regret it 4 the ret of ur life....

Ciello mi nakushabikia lakini nahisi mwanzisha thread alishajipanga kabla na mipoint, kumshinda ni kazi.
 
watu wanaweza vya pm tu, unadhani mchezo kumtokea rijali ka prisoner hadharani , hii yahitaji mwenye penzi la dhati hasa vinginevyo utaishia vichochoroni tu kulalamika kwenye pm
 
Back
Top Bottom