lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,164
- Thread starter
- #41
prisonetr huyo wa kutravel atakupasua nkichwa ,huyo mwingine mtafuta madini na migodi tu,the only option ya ukwee ni kwangu the only decent in this jukwaa, upewe nini tena zaidi ya milki yangu
Hahahaaaaaaaa! Prisoner Mwanaume wa ukweli takes care of his girl!!!!! Jst take care of me n it will be my full time job to make you happy! Ill carter to you baby!
Kazi yangu ni kuhakikisha unapata what your heart desires!!!!! Ukija room nakupoke mkoba kwa mabusu teletele! Nakuvua viatu na soxi, mkanda na vilivobakia! Hapo nipo kwenye khanga moko, Tunastua kwanza na cha pole na uchovu wa kazi, Baade unanisimuli yote yaliojiri kazini, Im here to listen baby! Massage lazima, viti hivi vya mchina haviaminiki, Tunakula, Jioni zoezi linaendelea! Saa kumi cha asubuhi lazima! Hapo nishakuchaguli nguo za kazini! Yaani ssssssssssssssss!!!!!!!!
Hawa watoto moto huu hawauwezi! Wengine hivi ni vipaji sio kujifunza!