Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha wacha zako kwani dnt beki tatu not need dushelele jamani
mmh...lord knows I am touched Suprise..em share na wewe kidogo kwanza..how are u so 'commited'??please help a man out..
sifa nyinine niliyo nayo Prisoner 46664 ni kuwa mie sipigi mizinga...infact mie ndo huonga na ushahidi wa hilo ni men wote nilowadate nilikuwa nawakatia mpunga wa kutosha...so maswala ya sweet naomba hela ya weaving, sijui ninunulie smartphone kwangu halipo..inshort am a fighter hata hiyo dinner yenyewe ukitaka expenses zote mie nitazicover..pesa kitu gani bana!!!! i just need one word 4m u an thts ...malizia mwenyewe
beib pls kwenye ........ hivyo vitu vidogovidogo hua havionekani, mbona unataka kuntafutia visa jamani, me ntajitoa ujue haf ukipata murder case shauri ako
Umeonaaaa eeeeeeeh! Ana roho ya paka! Kila wakitaka kummaliza anaibuka kivingine!
hahahahahah anahitaji lakini siyo ashee mhogo nilao mie lol...
Umeonaaaa eeeeeeeh! Ana roho ya paka! Kila wakitaka kummaliza anaibuka kivingine!
hahahahh kusoma hujui hata picha huelewi???
sifa nyinine niliyo nayo Prisoner 46664 ni kuwa mie sipigi mizinga...infact mie ndo huonga na ushahidi wa hilo ni men wote nilowadate nilikuwa nawakatia mpunga wa kutosha...so maswala ya sweet naomba hela ya weaving, sijui ninunulie smartphone kwangu halipo..inshort am a fighter hata hiyo dinner yenyewe ukitaka expenses zote mie nitazicover..pesa kitu gani bana!!!! i just need one word 4m u an thts ...malizia mwenyewe
Hahahaaaaaaaaaa! WE UNACHUNWA!!!!!! SI TUNAMEGA KISELA!!!!!!!!!
Prisoner 46664 hivi ushawahi kupewa mambo adimu wewe! Mi nakaa mbali sana, Nichukulie chumba kabisaaa ili tukitoka dinner nipumzike humo! You can keep me company too! We will just Talk! LOL!
hahahahahah anahitaji lakini siyo ashee mhogo nilao mie lol...
sawa sikatai ila unaweza nihakikishia kuwa papuchi yako itakuwa yangu peke ?