Privadinho amjibu Jemedari Said kuhusu kumpigia makofi Engineer Hersi ikulu wakati akiwa anaingia

Huyu Dogo siku hizi anajiona matawi sana,amesahau alianza kwa kuwa mfanyakazi kwenye instagram ya Shaffih Dauda.Amshukuru Dauda kumpa kazi then kumpa kazi ya bila mkataba pale clouds fm ndo akapata uwanja hadi akajulikana.
Sio vibya kuanzia chini
 
Kabisa ,mchaga anaetafuta hela kwa kuwa chawa.Halafu ans degree ya Law eti ,sijui ni kweli ?Kama ni kweli sijui kwa nini hakwendi Law school na pesa anayo ,walau amiliki Law firm akiwa wakili.
Kamemaliza degree ya Law UDOM.Inaelekea Law School aliogopa mziki wake.Ipo siku walimchachafya kule kwa page yake kuhusu hilo alimute comment na kufuta kabisa post.
 
Kamemaliza degree ya Law UDOM.Inaelekea Law School aliogopa mziki wake.Ipo siku walimchachafya kule kwa page yake kuhusu hilo alimute comment na kufuta kabisa post.
Hahahah,yaani kweli mchaga lazima angeenda Law school na angekuwa wakili msomi na kufungua firm yake apige hela. Au ni degree ya chupi ukute. Huyu mrombo eti anapumuliwa, sijui ni kweli.Kuna mahali nilisoma watu wanamwambia ajenge kwao maana kuna nyumba ya udongo ,vile siku hizi anajiona Bharesa.
 

Siku alivyoongea shombo kuhusu wapanda dala dala mbona watu walimfunua uhalisia wa maisha ya nyumbani kwao.Ziliwekwa hadi picha za nyumbani kwao ni aibu sana ukilinganisha na shombo zake mitandaoni.

Hilo la kupumuliwa inawezekana kabisa maana alikuwa na mchumba lakini baada ya kuajiriwa tu Yanga na uchumba ukafa kabakia kumsifia Boss (??) wake 24/7
 
Duh
 
Upuuzi huo ndiyo aliokimbia Feisal,sasa huyu anaona dili kupumuliwa.
 
Huyu Dogo siku hizi anajiona matawi sana,amesahau alianza kwa kuwa mfanyakazi kwenye instagram ya Shaffih Dauda.Amshukuru Dauda kumpa kazi then kumpa kazi ya bila mkataba pale clouds fm ndo akapata uwanja hadi akajulikana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mnfanyakaz wa instagraam
 
Hersi hapo ashindwe mwenyewe tu lakini arawa ni kama anamwambia Hersi 'mwili wako huu fanya utakalo' na ile sauti yake ya kubana pua. Uchawa ni ugonjwa mbaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acheni kumchafua mrombo wa watu

Tanzania kuchafuliwa Ni kawaida wivu tu imeaaaJaa


Jemedari Ni mpuuuz mkuda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…