Peleka Kayumba Mkuu usisahamu mnunulia kidumu na mfagio na bajeti ya mihogo kila siku TOFAUTI na hapo hutoboi there's high cost of living.Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki. Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!
Wewe uwezo ndo unao kusumbua tu hamna lolote sabb zako hazina mashikoNikimpeleka mwanangu primary mje mniite mbwa...
Hizo shule zinafanya mzazi usijue uwezo halisi wa mwanao maana kuna cream nyingi kwenye upande wa matokeo ili kuwafurahisha wazazi.
Ukipeleka mtoto shule za kawaida inasaidia kujua uwezo wake halisi ili ufanye maamuzi kuanzia O-Level umpe support ya aina gani, umuache shule za serikali ama umpeleke private.
Duh!Nikimpeleka mwanangu primary mje mniite mbwa...
Hizo shule zinafanya mzazi usijue uwezo halisi wa mwanao maana kuna cream nyingi kwenye upande wa matokeo ili kuwafurahisha wazazi.
Ukipeleka mtoto shule za kawaida inasaidia kujua uwezo wake halisi ili ufanye maamuzi kuanzia O-Level umpe support ya aina gani, umuache shule za serikali ama umpeleke private.
Pambana sasa bobWatoto wataona nimewakatili maishaa
Una watoto wangapi ? Wapo private Mkuu?Watoto wataona nimewakatili maishaa
Shule za serikali zipo nduguSerikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.
Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!
Dah!! The struggle is real. Kayumba ni changamoto mkuu. Watoto wanahudhuria shule tu.Peleka Kayumba Mkuu usisahamu mnunulia kidumu na mfagio na bajeti ya mihogo kila siku TOFAUTI na hapo hutoboi there's high cost of living.