blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Serikali haina budi kufanya lolote liwezekanalo kufanya Shule hizi za private zisipandishe ada kiholela. Zinaweza zikapunguziwa gharama za uendeshaji ili ziwe na nafuu kwa malipo huko serikali.
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.
Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!
Baadhi ya Shule vikao vishaanza. Kuna ongezeko la ada la kutisha na wanajiamulia wenyewe kwa utetezi kwamba gharama za maisha zimepanda. Sina shaka na hili kwani sote, ni mashahidi. Vitu havinunuliki.
Njia pekee ni serikali kuzipunguzia Shule hizi mzigo Wa kodi.
Sijui itakuwaje JANUARY!!? Au wazazi wenzangu mnasemaje!? Tupeleke watoto Kayumba!!!