Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kwa umri wangu wa kwenye mitandao, JF specifically nimejifunza na kugundua jambo hili, Pro-CCM wengi kama sio wote ni very antisocial na wanakitu kama stress Fulani hivi.
No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!
Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.
Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.
No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!
Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.
Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.