Pro-CCM wengi ni Antisocial na wana Msongo mkubwa wa mawazo

Pro-CCM wengi ni Antisocial na wana Msongo mkubwa wa mawazo

Weweee, fala wa meza za kupanga wana CCM tupo hapa!
Fanya ufanyalo tuna kucheki tu.
Hahahaah hahhahahahaa umeona sasa ulivyopaniki! Kakune nazi

IMG_20210923_180327.jpg
 
Kwa umri wangu wa kwenye mitandao, JF specifically nimejifunza na kugundua jambo hili, Pro-CCM wengi kama sio wote ni very antisocial na wanakitu kama stress Fulani hivi.

No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!

Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.

Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.
Kuipigania dola ya kidikteta ni kazi nzito sana. Inatakiwa uwe na akili pana inayohimili mikingamo kibao. Vinginevyo, utachanganyikiwa na kuanza kumwaga comment uchwara kama wadau fulani hapa. Ni mwendo wa kufoka na kuzomea tu.

Ukibahatika unaishia kuwa mwanafalsafa (paskali) au mwanamizaha (comedian) - yohanambatizaji 😂
 
🤣🤣
Nimekukumbusha maana ya ANTI-SOCIAL bado umeng'ang'ana na kuniita mjuaji.....🤣

Ok relax mkuu......

Umeandika anti-social ni kukaa "kiugomviugomvi"....umeandika anti-social ni "kutojiamini"....si kweli anti-social ni WAGOMVI(physical violent) na wanajiamini sana na ndio maana kufanya vurugu hadharani kwao si Jambo la ajabu.... anti-social wengi huishia MAGEREZANI.....

Tatizo lako umetafsiri anti-social KISWAHILI....

"Mjuaji "naishia hapa na hii comment USIISOME pia 🤣🤣🤣

SIEMPRE CCM
Hahahhahaha hebu soma kWa utulivu, usiwe too much obsessed na definition na urefu wa maandiko, kwahio ulitaka
Kuipigania dola ya kidikteta ni kazi nzito sana. Inatakiwa uwe na akili pana inayohimili mikingamo kibao. Vinginevyo, utachanganyikiwa na kuanza kumwaga comment uchwara kama wadau fulani hapa. Ni mwendo wa kufoka na kuzomea tu.

Ukibahatika unaishia kuwa mwanafalsafa (paskali) au mwanamizaha (comedian) - yohanambatizaji 😂
Umeiweka vyema sana
 
Kwa umri wangu wa kwenye mitandao, JF specifically nimejifunza na kugundua jambo hili, Pro-CCM wengi kama sio wote ni very antisocial na wanakitu kama stress Fulani hivi.

No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!

Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.

Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.
huko ndiko msongo waliourithi toka kwa mfalme jiwe ulikowafikisha
 
Ukichunguza CCM wengi ni vilaza kama viongozi wao. Ndo maana unaona viongozi wengi siku hizi wanachukuliwa kutoka upinzani
 
Kwa umri wangu wa kwenye mitandao, JF specifically nimejifunza na kugundua jambo hili, Pro-CCM wengi kama sio wote ni very antisocial na wanakitu kama stress Fulani hivi.

No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!

Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.

Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.
Ccm Wanaweza teuzi tu na majungu wakati wenza wako bize brela, tra, tic, bank, tpsf, wanasaka fursa za kuwekeza wanakuja huku tayari wameishafanya connection, wakati maccm yanabishana nani zaidi katiya jpm na ssh
 
Hakuna watu wenye stress kama chadema ndio maana Kila sekunde ni nyuzi za kulalamika tu, na matusi kwao ndio salamu na hii yote ni stress zinawasumbua
 
Mbona iko kinyume?!!!

Hivi ndugu yetu MDUDE NYAGALI yukoje ?!!!![emoji1787][emoji1787]

Hakuna tabia ya AJABU kupata kuiona kama ile ya kujivika hulka ya KUPINGAPINGA.....yaani kila la mwenzako ni HOVYO....yaani kila la mwingine limekaa TENGE.....yaani hii ndio tabia inayowakusanya pamoja vijana wa BAVICHA NA CHADEMA yao.....

Pingapinga FC huendeshwa "kimsukule"....[emoji1787][emoji1787]
Wafuasi wa chadema ni watu waliokata tamaa ya maisha na Wana msongo wa mawazo tazama tu threads zao au comment zao utajua
[emoji23][emoji1787]
 
Mbona iko kinyume?!!!

Hivi ndugu yetu MDUDE NYAGALI yukoje ?!!!!🤣🤣

Hakuna tabia ya AJABU kupata kuiona kama ile ya kujivika hulka ya KUPINGAPINGA.....yaani kila la mwenzako ni HOVYO....yaani kila la mwingine limekaa TENGE.....yaani hii ndio tabia inayowakusanya pamoja vijana wa BAVICHA NA CHADEMA yao.....

Pingapinga FC huendeshwa "kimsukule"....🤣🤣
Pinga pinga iliasisiwa na mr #dishlimetilt, vijana wote wa chadema wakafuata bila hata kujiuliza mara mbili kuhusu madhara yake.
Aliyewaita nyumbu hakuwa mbali na ukweli!
 
Back
Top Bottom