Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
- Thread starter
- #41
Hahahaah hahhahahahaa umeona sasa ulivyopaniki! Kakune naziWeweee, fala wa meza za kupanga wana CCM tupo hapa!
Fanya ufanyalo tuna kucheki tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaah hahhahahahaa umeona sasa ulivyopaniki! Kakune naziWeweee, fala wa meza za kupanga wana CCM tupo hapa!
Fanya ufanyalo tuna kucheki tu.
CCM mbere kwa mbere!
Kwani hamjamaliza kuomboleza?
Ndiyo yeye huyo
Kuipigania dola ya kidikteta ni kazi nzito sana. Inatakiwa uwe na akili pana inayohimili mikingamo kibao. Vinginevyo, utachanganyikiwa na kuanza kumwaga comment uchwara kama wadau fulani hapa. Ni mwendo wa kufoka na kuzomea tu.Kwa umri wangu wa kwenye mitandao, JF specifically nimejifunza na kugundua jambo hili, Pro-CCM wengi kama sio wote ni very antisocial na wanakitu kama stress Fulani hivi.
No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!
Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.
Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.
Hahahhahaha hebu soma kWa utulivu, usiwe too much obsessed na definition na urefu wa maandiko, kwahio ulitaka🤣🤣
Nimekukumbusha maana ya ANTI-SOCIAL bado umeng'ang'ana na kuniita mjuaji.....🤣
Ok relax mkuu......
Umeandika anti-social ni kukaa "kiugomviugomvi"....umeandika anti-social ni "kutojiamini"....si kweli anti-social ni WAGOMVI(physical violent) na wanajiamini sana na ndio maana kufanya vurugu hadharani kwao si Jambo la ajabu.... anti-social wengi huishia MAGEREZANI.....
Tatizo lako umetafsiri anti-social KISWAHILI....
"Mjuaji "naishia hapa na hii comment USIISOME pia 🤣🤣🤣
SIEMPRE CCM
Umeiweka vyema sanaKuipigania dola ya kidikteta ni kazi nzito sana. Inatakiwa uwe na akili pana inayohimili mikingamo kibao. Vinginevyo, utachanganyikiwa na kuanza kumwaga comment uchwara kama wadau fulani hapa. Ni mwendo wa kufoka na kuzomea tu.
Ukibahatika unaishia kuwa mwanafalsafa (paskali) au mwanamizaha (comedian) - yohanambatizaji 😂
huko ndiko msongo waliourithi toka kwa mfalme jiwe ulikowafikishaKwa umri wangu wa kwenye mitandao, JF specifically nimejifunza na kugundua jambo hili, Pro-CCM wengi kama sio wote ni very antisocial na wanakitu kama stress Fulani hivi.
No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!
Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.
Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.
TouchingUkichunguza CCM wengi ni vilaza kama viongozi wao. Ndo maana unaona viongozi wengi siku hizi wanachukuliwa kutoka upinzani
Ccm Wanaweza teuzi tu na majungu wakati wenza wako bize brela, tra, tic, bank, tpsf, wanasaka fursa za kuwekeza wanakuja huku tayari wameishafanya connection, wakati maccm yanabishana nani zaidi katiya jpm na sshKwa umri wangu wa kwenye mitandao, JF specifically nimejifunza na kugundua jambo hili, Pro-CCM wengi kama sio wote ni very antisocial na wanakitu kama stress Fulani hivi.
No nadra sana kumkuta Proccm kwenye majukwaa ya MMU, Chitchat etc na hata ukibahatika kuwakuta huko lazima wachafue hali ya hewa....yaani wamekaa kiugomvi ugomvi!
Hawajiamini, kama vile wana psychological disorder Stress tu. Mnaongea issue za kawaida mwenzio anakuja na issue za Mbowe, chadema sijui CcM aaghr.
Nasema uongo ndugu zangu? Kuna maisha baada ya siasa na siasa sio uadui.
Wafuasi wa chadema ni watu waliokata tamaa ya maisha na Wana msongo wa mawazo tazama tu threads zao au comment zao utajuaMbona iko kinyume?!!!
Hivi ndugu yetu MDUDE NYAGALI yukoje ?!!!![emoji1787][emoji1787]
Hakuna tabia ya AJABU kupata kuiona kama ile ya kujivika hulka ya KUPINGAPINGA.....yaani kila la mwenzako ni HOVYO....yaani kila la mwingine limekaa TENGE.....yaani hii ndio tabia inayowakusanya pamoja vijana wa BAVICHA NA CHADEMA yao.....
Pingapinga FC huendeshwa "kimsukule"....[emoji1787][emoji1787]
Itakuwa una msongo wa mawazoSio kila Mara ujitie ujuaji! Hilo neno "na" hukuliona? Anyway umejitahidi kuandika maandishi marefu bahati mbaya sisomagi
Pinga pinga iliasisiwa na mr #dishlimetilt, vijana wote wa chadema wakafuata bila hata kujiuliza mara mbili kuhusu madhara yake.Mbona iko kinyume?!!!
Hivi ndugu yetu MDUDE NYAGALI yukoje ?!!!!🤣🤣
Hakuna tabia ya AJABU kupata kuiona kama ile ya kujivika hulka ya KUPINGAPINGA.....yaani kila la mwenzako ni HOVYO....yaani kila la mwingine limekaa TENGE.....yaani hii ndio tabia inayowakusanya pamoja vijana wa BAVICHA NA CHADEMA yao.....
Pingapinga FC huendeshwa "kimsukule"....🤣🤣
Huko nimeshatoka zamani, sasa hivi niko huku mamtoni namwangalia mr #dishlimetilt anavyoshikishwa ukuta.Nakuona bado upo lindo kwenye kaburi la masia wenu.View attachment 2003790
Kama wewe uliweza kushikishwa huo ukuta kwa miaka 30 kwa kubaka na ukatoka salama basi haisumbuiHuko nimeshatoka zamani, sasa hivi niko huku mamtoni namwangalia mr #dishlimetilt anavyoshikishwa ukuta.
Basi ngoja aendelee kushikishwa tuKama wewe uliweza kushikishwa huo ukuta kwa miaka 30 kwa kubaka na ukatoka salama basi haisumbui
🤣🤣Wafuasi wa chadema ni watu waliokata tamaa ya maisha na Wana msongo wa mawazo tazama tu threads zao au comment zao utajua
[emoji23][emoji1787]