Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahhaa nimecheka sana, yaani hata uandishi wako ukisoma between the line umeandika utadhani vita! Dah MNA shida aiseeeKuliko Pro-CHADEMA?
Chadema mmebaki wewe na Mbowe tu
Hahaahaaha au za Polepole....Tatizo wanakuwa na matarajio mengi kwa CCM pengine kuambulia teuzi wanajikuta wanawekwa pembeni wanateuliwa waliotoka vyama pinzani hasa Chadema. Kwa Hali hiyo lazima uvurugwe na umuone kila mnayetofautiana itikadi ni adui. Ndo mana wana sonona kuliko hata za Dk. Bashiru.
Hahahaahhaah umesoma ukaelewa?Angalia warusha matusi wengi hapa jukwaani ni pro chadema, tindo, Mmawia, bak, sexless, etc ndo ujue nani wako stressed zaidi.
Kuna mmoja amefura baada ya kuenguliwa ukatibu wilaya.Tatizo wanakuwa na matarajio mengi kwa CCM pengine kuambulia teuzi wanajikuta wanawekwa pembeni wanateuliwa waliotoka vyama pinzani hasa Chadema. Kwa Hali hiyo lazima uvurugwe na umuone kila mnayetofautiana itikadi ni adui. Ndo mana wana sonona kuliko hata za Dk. Bashiru.
Haahahahah kwani nasema uongo ndugu yangu?Hako kamsemo ka nasema uongo ndugu zangu😅😅😅
Ayaaaaa, Mpwa ni nani huyo? Hebu nidokezee kidogo nifurahi nisimalize ka Wine kangu bureKuna mmoja amefura baada ya kuenguliwa ukatibu wilaya.
Bado upo kwenye lindo?Kuliko Pro-CHADEMA?
Chadema mmebaki wewe na Mbowe tu
Kwa mujibu wa Twaweza wafuasi wa cccm wengi wao ni std 7 na wasio na matumaini ya kufanikiwa kimaisha.Hahahahhaa nimecheka sana, yaani hata uandishi wako ukisoma between the line umeandika utadhani vita! Dah MNA shida aiseee
Hata maisha yao wengi wao yanakuwa ya kubahatisha tuTatizo wanakuwa na matarajio mengi kwa CCM pengine kuambulia teuzi wanajikuta wanawekwa pembeni wanateuliwa waliotoka vyama pinzani hasa Chadema. Kwa Hali hiyo lazima uvurugwe na umuone kila mnayetofautiana itikadi ni adui. Ndo mana wana sonona kuliko hata za Dk. Bashiru.
Nakuona bado upo lindo kwenye kaburi la masia wenu.Angalia warusha matusi wengi hapa jukwaani ni pro chadema, tindo, Mmawia, bak, sexless, etc ndo ujue nani wako stressed zaidi.
Aidan Eyakuze na TwewezaKwa mujibu wa Twaweza wafuasi wa cccm wengi wao ni std 7 na wasio na matumaini ya kufanikiwa kimaisha.
Baada ya kutoa utafiti huo akahojiwa uraia wake.Aidan Eyakuze na Tweweza
Wakachukua na Passport yake.....CCM ni kichaka cha WahalifuBaada ya kutoa utafiti huo akahojiwa uraia wake.
Wanaogopa sana kukosolewaWakachukua na Passport yake.....CCM ni kichaka cha Wahalifu