Hakiniumi kitu ila kama ni fashion imechuja sanaSasa wewe kinachokuuma ni nini?
kwa hiyo mlitaka tutoe mimba ili tupate mwanaume wa ndoto yangu na bado nimeua uje uniletee ufuska acha tuzae tu ... kama issue ni hiyo tuzae tu
vipi wewe umeolewa?
Unataka kuolewa bibie?!
tena wakae mbali nasi sababu kutoa kumbe kinachoweza nipenda maisha yangu yote kwa ajili ya mwanume ambaye baada ya ndoa sielewe he just fuuck other women around me never never never and neverWanataka tutoe mimba tukifika kwenye ndoa hatuzai waanze kutunyanyasa hatuna vizazi kumbe wamesababisha wao kwa kuona kuzaa kabla ya ndoa ni dhambi. Tuzae tu mwaya wakitaka watuoe wasipotaka pia sawa.
na wanazeeka na vizazi vyaoKuolewa siku hizi ni bahati. Mbona kuna wadada wengi tu hawajazaa ila wako mtaani hawajaolewa?
Chonde! Chonde! Akina dada. Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.
Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.
Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vzr, utavaa vzr na njiani utasimamishwa na wakaka watana shati LKN mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.
Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.
Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
Muda utafika lini?Nataka ila muda ukifika.
Ukisoma comment nyingi za humu utaelewa watu wanawatazaje single mother, je wanawatazama kwa jicho la Wema au ubaya!! Na kama wangewatazama kwa jicho la Wema faraja ingelikua juu yao ila including you unawatazama kwa jicho la ukosaji na kuwaona wasiofaaHajasema single mother wanawake wabaya kuolewa kasema ukishakuwa single mother ndoa inakuwa ngumu...na ndio ukweli wanaume wengi sn hawapendi kuoa mwanamke mwenye mtt na mtu mwingine
The speed at which bros be bickering about women affairs, and caught up in homophobia is damn scary. Can't find the ground.
Si kila singlemama ni mzigo kwa familia, amka wewe acha uboyaAlbino hana tatzo hata mlemavu hana tatzo kibaya ni kuzaa kabla ya ndoa kwanza hata family yenu umeidhalilisha kama wew ni first born umewafungulia njia mbaya wenzio wa kike ni full kuongeza mizigo nyumbani
Pale Allah S.W atakapomjaalia kama alipotujaalia sisiMuda utafika lini?
Nungayembe ndo nin mkali[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Jamani unaweza kuolewa ili mradi kuondoa nuksi i.e BORA MUME. Lkn anakuwa hagongi hisia na ndoto zako.
Na ukiona dume zima humu jf linatetea simgle mothers kuwa wanaweza kupata waume wa ndoto zao ujue nalo limeokota nungayembe lenye mtoto.
Kuna kero 2 kubwa ukioa single mom. Moja ni kelele za, ama kuhudumia toto ambalo si lako.
Mbili, ni mawasiliano ya single mom na mzazi mwenzie~Lazima yatakuwepo tu, ya siri ama ya wazi.
Mapoouvu yatawatoka leo
Ungelijua hii fashion ndio iko Hot wala usinge ongea, ndoa nyingi zina vitimbi siku hizi hivyo basi hata wanawake walio kwenye ndoa wengi hutamani waishi maisha yao peke yao na watoto wao automatically they wanna turn to be single mothersHakiniumi kitu ila kama ni fashion imechuja sana
Dada inaonekana umezaa kabla ya ndoa wwIla kuolewa na mwanaume alizalisha na kukataa mtt wake ni Baraka eti?