Wewe sio Mungu hadi umuapie hivyo,na huenda M/Mungu aliyaruhusu hayo ili amuepushie matatizo ya kuishi na wewe!Mtoa mada umenigusa mimi nimeachana na mchumba wangu, kwa sababu mimi niko masomoni Alianza kutoka na jamaa lingine, nimekuja kugundua baada ya mwaka mmoja kupita, najiandaa kwenda kwao kutoa mahari nakuta Binti ana mimba jamaa aliempa mimba nae kaishia mitini. Japo nilikuwa nampenda sana ila niliamua kumuacha ila alilia sana. Ila nilimuambia kwenye hii Dunia kupata Mme wa ndoto zako sio rahisi tena maana thamani yako ya kufanya choice umeiharibu mwenyewe.
Usitukane wakungaUtaoaje lisingle mother wakati kuna mabint wabichi kabisa chuchu Saa 6 mchana .Ukiona kijana anaoa single mother ujue huyu kajikatia tamaa ya maisha
Kula like 10000000Hivi kwani mtu asipoolewa atakufa? Wanaume wenyewe nyie wachache afu mnategemea kila mtu awe na mwanaume wake ndo azae.
Wew ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini.
Na nyie endeleeni kuoa wanawake wabichi wasio na watoto ila wametoa mimba mpala mayai yameisha sisi single mothers we are happy the way we are ndo maana tulichagua kuzaa hali na kujua tutapata shida kupata wenza wa maisha yetu ila kwa sisi UHAI wa kiumbe ni bora kuliko NDOA.
Hawajielewi haoIla kuolewa na mwanaume alizalisha na kukataa mtt wake ni Baraka eti?
HongeraWengi hawapendi single mother ulijizalia hovyo ruber inachoka ndio waume wanakula na kukimbia
Wanaume wengi wanapenda mke ambae hajazaa kwa kuwa rubber haijachoka kupwaya
UsikaririNdoa ni muhimu ndo maana ikawepo na ikabarikiwa.
Mwanamke huwezi kuwa salama kama huna ndoa.
Na isitoshe kauli hizi huwa ni za wanawake walio kata tamaa baada ya kujichanganya wenyewe na kujikuta wana watoto na hawako kwenye ndoa, lakini thamini ya ndoa itabakia pale pale. HABARI NDO HIYO!
Thante dadaHongera
Kama uliwapitia wachache usiwajumlishe wote kuwa na tabia hiyo, kwa kidudu gani ulichonacho cha kuweza kuthibitisha hilo?wape heshma Dada zako ndugu,Single mothers nawapendaga sana, ukimugusia kumuoa tu siku hiyohiyo unakaribishwa kwake na unakula mzigo bila dhida.
unaweza kua 1 kati milioni 20.Usikariri ndugu huo utafiti wako sijui wa wapi.?me nimeolewa nikiwa singo mama tena nime someshwa kuanzia A level mpaka chuo na kijana tumefunga ndoa akiwa na miaka 32 tunapendana tuna heshimiana
Duuuuh imenichekesha maana ndo ukweli huo....daaahYaani mtoa post hata wakuponde lakn ukweli utabaki pale pale mwanamke alie zalia nyumbani ni asilimia ndogo sana ya kuolewa na kijana ambae haja pata mtoto,yaan ataolewa na wanaume wenye watoto Wakubwa na wengne kuishia kuliwa tu nan aanze kulea litoto la mtu mwisho wa siku baba yake anakuja kuchukua umemkuzia, labda huyo mwanamke awe anajiweza kiuchumi lakn kama ndyo hana hata kaz yeyote kaz kutegemea kuletewa masimango yatamkimbiza tu maana mwanaume akitoka huko amevulugwa akija home litoto linapiga kelele wala sio lake na yy akifikilia hana mtoto,kifuatacho ni kofi tu nenda kwa mama yako
Jaribu wewe sasa uone na angalia huyo mtu aliekua nae ww utayaweza hayo......Zari kaolewa tayari ana watoto 4 na kila mmoja ana baba yake.
Soma vzr comment yangu...Umezaa na bf?!
Una mchumba?!Soma vzr comment yangu...
Siwezi zaa bila ndoa,au na bf sina muda huo!
tuwe wakweli tu,kwa jamii yetu ya kitanzania ndugu wakijua unaenda kuoa mwanamke mwenye mtoto kwanza linakuwa gumzo.Utasemwa mpaka basi,wengi huikimbia aibu hii.Hivi hawa single mothers wanajipaga mimba wenyewe????
Wengi tu humu nizao la hao single mothers, embu waacheni kama wewe huwezi kuoa wenzio wanawaoa.
Swali dogo la kizushi... wewe uliyeoa mwanamke asiye na mtoto.... una uhakika watoto unaolea ni wako??Chonde! Chonde! Akina dada.
Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.
Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.
Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vizuri, utavaa vizuri na njiani utasimamishwa na wakaka watanashati lakini Mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.
Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.
Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
Sawa sweet baby,usikasirike c ulikubali mwenyew bwana,Lea mtoto huyoShika adabu yako unanfahamu mm mpk uninenee unenayo?jiheshmu