Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Yupi anameremeta kat ya aliezaa mtt wake na alietoa mimba kwa kuogopa kua sngo mom?kwhyo matarumbeta na vgelegele apigiwe alietoa mimba sindio?
Hahahaha nilitaka kuuliza hilo swali
Mwanaume mwenye akili na busara hakurupuki kama huyo
 
Usiwakatishe moyo wadada wa watu. Bado kuna wanaume wanaopenda kikwelikweli! Na mwanaume akikupenda hatojali kama una mtoto.
Nawafahamu wadada walioolewa wakiwa
Siku hizi nao wanaoa, akiona umemtawanya miguu kisha hutangazi ndoa kisingizio maisha magumu, anakwambia nataka unioe ila kila kitu niachie mm, atakupa hela ya kishika uchumba upeleke kwao yaani anagharamia kila kitu mpaka harusi, hao ndo maranyingi wanalalamika mme wangu hanisaidii kwa lolote hata pesa ya matumizi hatoi, anasahau ahadi yake kuwa kila kitu nitagharamia mm.
 
Mentor hhahahahhahha dahhh umenifanya nitabasamu ghafla JF ile ya miaka ya nyuma inanirudia kichwani.

I'm good, actually really good.
Dahhh ulipotelea wapi ?

Mimi?
Been here...nimefurahi sana kukusoma!


life goes on.....
 
Hakika umeongea na uchungu mkubwa sana pia nimejifunza kitu kitoka kwako basi tusamehe wote tulio umiza mioyo kwa kuandka post za kuropoka,ila na nyie punguzeni tamaa zinawaponza,nikitoa pesa ndefu hakika nitajua wew huna mapenz ya dhati kwahyo hata nikienda na wew ni kutimiza haja yangu tu kumbe siku hyo mimba tayar ukiniambia nina mimba yako siwez kuamin maana mwanzo ulionesha mapenzi kama biashara nitajua biashara imefanyika sehemu nyingne naletewa mimi kiukweli ni ngumu kukuamin
 
Usichojua na cha kushukuriwa ni uke wa Mwanamke una shukrani sana, maana akizaa uke hurejea katika hali yake ya kawaida, ukimuona mdada analea Mwanae mpongeze wala usimdharau na kumdhihaki kama mfanyavyo wanaume wa JF,mwanamke huyu anaweza sana kumchukua mtoto na kwenda kumtelekeza kwa mzazi mwenzie lakini hafanyi hivyo kwa ajili ya kupambania maisha ya mtoto wake asikumbane na mateso asiyostahili, ukioa single mother jua umeoa mwanamke mpambanaji na mvumilivu wa hali zote za kimaisha
 
Wengi hawapendi single mother ulijizalia hovyo ruber inachoka ndio waume wanakula na kukimbia
Wanaume wengi wanapenda mke ambae hajazaa kwa kuwa rubber haijachoka kupwaya
Hahahaaaaaa tena nyie ndo mcceme ki2 maana mwawatolea vitoto kila kukicha eti acwe single mom, tehtehtehhhhhhhhh
 
Masimango ni tabia na hila za baadhi ya wanaume, wala si jambo linaloletwa na single mother!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…