Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Afu wanaume wanajiona watakatiiiifu ila duh acha tu, kwaiyo hao mnaoona kuwa ni wabichi wametupa wangapi? Hiyo haimfanyi mtu kutoitwa mama maana tayar alishatoa ispokuwa anabak kuwa mama wa asiyeonekana
 
Ni hv mkuu sio wote tulipata watoto kwa style hiyo. Km nilivyosema yaliyo nyuma ya hii scenario ni mengi. Wala haina haja ya kumlaum Mama.
 
Na hapo pia labda kaolewa ili mradi tu iwe hivo ila choice alishakosa
Wanaubaguzi sana hawa viumbe mda ukienda wanasaka ndoa hata kw ndumba lakn wakiwa bado wanavutia utasikia nataka mwenye ajira nzuri mwenye elimu,mrefu,six pack,na awe mwenye mapenzi ya dhati.kimbembe hampati anae mtaka mpaka umli unaenda anaamua kuzaa bado anajichanganya tu
 
Afu wanaume wanajiona watakatiiiifu ila duh acha tu, kwaiyo hao mnaoona kuwa ni wabichi wametupa wangapi? Hiyo haimfanyi mtu kutoitwa mama maana tayar alishatoa ispokuwa anabak kuwa mama wa asiyeonekana
be blessed nimependa
 
Watazalishwa tu had akili zikae sawa
 
Ulichagua kuzaa...!hapa unatudanganya labda kama bahati mbaya..
 
Vijana waliokosa mwelekeo wa maisha.
[emoji70] [emoji94] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] kwahyo alie koswa muelekeo wa maisha anaamua kuuoa mke wa mtu maana mwanamke alie zaa ni mke wa mtu
 
[emoji70] [emoji94] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji115] [emoji115] [emoji115] kwahyo alie koswa muelekeo wa maisha anaamua kuuoa mke wa mtu maana mwanamke alie zaa ni mke wa mtu
Mara nyingi wanatunzwa na hao wanawake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…