Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Probability ya kuolewa ukishakuwa na mtoto ni 0.000001%

Mleta uzi mi sikupendi kwakuwa umesema ukweli mtupu.

Wadada single najua inawauma sana,iwe funzo kwa wadada wanaoona umri umeenda wasubiri wakati wa Bwana, hata Sarah alisubiri !
 
Chonde! Chonde! Akina dada. Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.

Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.

Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vzr, utavaa vzr na njiani utasimamishwa na wakaka watana shati LKN mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.

Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.

Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
mmh yaani unawaogopa single mothers hao wengine unawajua vizuri? yes hawana watoto lakin wameshatoa mimba kibao,
 
wanaume wengi tupo ivyo angelita hata mm siwezi kuoa mwanamke aliyezalishwa na mwanaume mwenzangu! lazima nitafute mtoto jojo ndio nioe siwez kuoa single mother
 
wengi wanaounga mkono hoja naona kama ni jinsia tofaut na ME
 
Hivi kwani mtu asipoolewa atakufa? Wanaume wenyewe nyie wachache afu mnategemea kila mtu awe na mwanaume wake ndo azae.
Wew ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini.
Na nyie endeleeni kuoa wanawake wabichi wasio na watoto ila wametoa mimba mpala mayai yameisha sisi single mothers we are happy the way we are ndo maana tulichagua kuzaa hali na kujua tutapata shida kupata wenza wa maisha yetu ila kwa sisi UHAI wa kiumbe ni bora kuliko NDOA.
Mama nimekupendaje?Umenipa raha kumoyo.
 
Hivi kwani mtu asipoolewa atakufa? Wanaume wenyewe nyie wachache afu mnategemea kila mtu awe na mwanaume wake ndo azae.
Wew ukisema cha nini wenzako wanasema watakipata lini.
Na nyie endeleeni kuoa wanawake wabichi wasio na watoto ila wametoa mimba mpala mayai yameisha sisi single mothers we are happy the way we are ndo maana tulichagua kuzaa hali na kujua tutapata shida kupata wenza wa maisha yetu ila kwa sisi UHAI wa kiumbe ni bora kuliko NDOA.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Chonde! Chonde! Akina dada. Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.

Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.

Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vzr, utavaa vzr na njiani utasimamishwa na wakaka watana shati LKN mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.

Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.

Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
Sawa katika Jamii jambo la wadada kuwa na mtoto haileti picha nzuri na ni kweli wachache sana huolewa
Katika hili nina mifano hao,Mfano mdada aliishi na huyu mwanaume km mke na mume, wakazaa na mtoto lakini huyo mwanaume kutoka na sababu zake anaamua kumuacha mdada watu je utasema huyu mdada alipenda kuzalishwa?
Naona ifike sehemu wanaume tubadirike tusichukulie suala la hawa wadada kuzaa ni u.ma.la.ya wakati hapo hapo utakuta wewe unayemkataa una watoto watatu kutoka kwa wanawake tofauti tofauti
 
Uongo mtupu.

Dunia hii kuna wanaume haswa ambao hawaogopi majukumu. Na wanachukulia kuleta mtoto kama kitu Cha kawaida tu.

ni mwanaume/vijana ambao wamebalehe lakini wamekataa kukua kiakili na kimwili. Ndio wanaokimbia majukumu.
 
Chonde! Chonde! Akina dada. Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.

Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.

Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vzr, utavaa vzr na njiani utasimamishwa na wakaka watana shati LKN mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.

Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.

Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
Kwa mawazo haya inaonyesha ni jinsi gani upeo wa watanzanie ulivyo mdogo,siku hizi mtu akiwaza ujinga tu basi ana upost.
 
Natafuta mchumba SINGLE MOTHER! Kama yupo hapa naomba ani-pm....
 
Hongera zenu nyie mliooa na mnaooa wanawake wabichi! Iila hiyo haimaanishi kutakua na amani na furaha kwenye ndoa... Kila siku ndoa zinavunjika na michepuko inaongezeka. Wengi hamjui kupenda ndo mana hili swala linawasumbua sana. Kwa taarifa yenu kuna wanawake kibao wana watoto kisirisiri! So we danganyika kua hujaoa singo mother! Labda kama umeoa bikra!
 
Chonde! Chonde! Akina dada. Usiombe ukazaa kabla ya kuolewa ukawa single mother.

Ndoto zote za kuwa na mume wa ndoto yako hukoma siku utakapo toka labour ukiwa na mtoto asiye na baba.

Machaguo yote hukimbia hata uwe mzuri vipi. Utajiweka vzr, utavaa vzr na njiani utasimamishwa na wakaka watana shati LKN mwanaume wa karne hii na awamu hii ya 5 ukimwambia tu nina mtoto basi ata-pretend kwa muda ili ale mzigo na baadaye atasepa.

Mdada mwenye mtoto anaishia kuolewa na mibaba iliyokula maisha mpk imechoka. Labda jibaba limefiwa na mkewe, ama limetengana na mkewe na lina watoto wakubwa kama ww. Badala ya kula maisha kwenye 6 kwa 6 unabaki kulilea tu. Unapotaka ku-DO nalo weka soda karibu maana hayakawii kushusha pressure.

Ukiwa na mtoto wanaume wa ndoto yako ndo basi tena. Daaah! [HASHTAG]#Sorry4[/HASHTAG] Single Mothers.
Ila ninyi wakala hizo mimba ni 99.999999999
 
Back
Top Bottom