Hivi mkuu Lufa alitokea wapi, maana mimi kwa mara ya kwanza nilimahamu kwenye alosto, Jamaa anagonga midundo mikali ule wimbo nilikuwa naupenda hasa niuachie saut ya juu kwenye gari nikiwa huko barabara za vumbi ambako kuna ngedere na ndege tu
Mtoto wa Arusha,Quick Racka ndo kamtoa jamaa baada ya kumtumia sample za beats jamaa akazielewa then akamwambia njoo dar so akaanza kazi Switch records ya Quick.Hivi mkuu Lufa alitokea wapi, maana mimi kwa mara ya kwanza nilimahamu kwenye alosto, Jamaa anagonga midundo mikali ule wimbo nilikuwa naupenda hasa niuachie saut ya juu kwenye gari nikiwa huko barabara za vumbi ambako kuna ngedere na ndege tu
jamaa mkali sanaMtoto wa Arusha,Quick Racka ndo kamtoa jamaa baada ya kumtumia sample za beats jamaa akazielewa then akamwambia njoo dar so akaanza kazi Switch records ya Quick.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh ndiyo sasa sijui bado yupo??.. Daah ila nami ntatoka tuu.. nawakubali Sana wanene..
Labda maslahi, naona dogo S2 kafanya fasta keshafungua studio yake inaitwa Pluto.
Hapa afanye uwekezaji maana hakuna watu wana expire mapema kama maproducer, maana mwaka juz kurudi nyuma ilikuwa T-Touch alitengeneza almost kila hit now kawa wa kawaida
kwiro ya mwaka gani!?..Alisoma Kwiro secondary advance badae akaenda chuo gani Sijui ila sidhani kama alihitimu?
wewe mshamba wa wapi?? ammy ndo nani?? au unajipigia promo??.. wanadai kodi siku hizi mpaka matangazo ya mitandaoni!.. shauri zako..umetupiga kamba solo katengeneza producer ammy kuwa makini kabla ya kupost mzee baba
Nlitaka kusema hivi hahahahaUnataka akufanyaje? Mtoto wa kiume pambana acha kulalamika utaolewa
we jamaa mi nilisoma na mtt wa steve jobs ....uyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana
Kitu kama 2014kwiro ya mwaka gani!?..
Kama hujui kitu tulia uelekezwe!wewe mshamba wa wapi?? ammy ndo nani?? au unajipigia promo??.. wanadai kodi siku hizi mpaka matangazo ya mitandaoni!.. shauri zako..
unataka kusema kizzy kasepa?? tufanye yaishe tuu maana tutafika mbali!... maana hata mleta Mada mwenyewe kasema ila ni wewe mchawi mmoja tuu..Kama hujui kitu tulia uelekezwe!
Hiyo ngoma ya solo hajatengenza s2kiz imetengezwa na ammy!
Nadhani ni producer aliyebadili kwa s2kiz pale switch records
Basi nilisikia ndio madogo waliomtimua headmaster wao!..Alitusumbua sana miaka yetu!.Kitu kama 2014
[emoji23] [emoji23] Mkuu unaishi wapi?unataka kusema kizzy kasepa?? tufanye yaishe tuu maana tutafika mbali!... maana hata mleta Mada mwenyewe kasema ila ni wewe mchawi mmoja tuu..
uyo dogo nimesoma nae tangu vidudu na chekechea napia nimesoma nae primary na secondary alikuwa best yangu kwa kila kitu huko mkoa wa mbeya wilaya ya kyela sehemu moja inaitwa stamiko katika mgod wa makaa ya nawe unaitwa kiwila coal mine na alikuwa anakaa kwa shangaz katika kota za huo mgod na mzee wangu alikuwa anakaa jilan na shangaz yake dogo ameanza kuimba nakutengeneza bit tangu form one kwenye studio moja ya headmaster wa Shule ya kiwila coal mine na alikuwa kichwa san akishika nafasi ya pili Mimi ya tatu lakin sasaivi kawa maalufu ametusahau washkaji zake bhana
Hilo tunalijua toka kitambo.. studio inaitwa Pluto.. sijui!.. ishu ni ngoma ya solo katengeneza nani??[emoji23] [emoji23] Mkuu unaishi wapi?
Kizzy kafungua studio yake mda mrefu
Ammy mbona Kuna sign yake amejitaja mule?Hilo tunalijua toka kitambo.. studio inaitwa Pluto.. sijui!.. ishu ni ngoma ya solo katengeneza nani??
Kama una pc download cakewalk then anza kugonga mabeat mdogo mdogoNataman sana kuwa producer