Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa. Kuna live performance moja ya koffi ameifanya nyimbo za Rocherou, ni hatari sana. Gita zinavyocharazwa, you really feel the taste of music. Pitie na mokolo nakokufa, mopao aliua sana mule.Hili nilishalisema hapa pia kuwa Muziki wa Congo siku zote huwezi kuichoka na ndio maana wazee wengi ambao walikuwa vijana miaka ya 70's na 80's huwezi kuwashawishi eti kuwa midundo ya sasa inaizidi ya zamani.
Ukisikiliza hizo nyimbo ulizoandika hapo pamoja na wimbo kama:
et Rochereau, Mamou, Ya Jean na Nadina ya Mbilia Bel utagundua utofauti mkubwa sana kwasababu walikuwa wanatumia vyombo Vingi lakini KWA USAHIHI KABISA, kwa mfano Gitaa, Kinanda, Filimbi, Ngoma n.k
Kifupi ule ndio mziki hasaa
Maproducer wa muziki marekani walisalute ubunifu uliopo kwenye muziki wa rumba na sebene. Mfano walishindwa elewa ni vipi Dr nico aliweza piga magita mawili ya solo [solo na mi solo].Kwenye uwo muziki wa rhumba kwenye kila chombo/ala ya muziki, kama bass gita, solo gita, tumba, drums, tarumbeta, kinandi
Mwache tu akikuwa atajiona mjinga sana na ataacha utoto.Vitoto vya siku hizi mna maneno na kauli chafu sana aisee..!
Sasa hapo mleta mada amekukosea nini mpaka utamke maneno machafu kiasi hicho?
Nyie ndio wale watoto mliopatikana baada ya kondom kupasuka!!!
Baada ya kondomu kupasuka[emoji23][emoji23][emoji23]Vitoto vya siku hizi mna maneno na kauli chafu sana aisee..!
Sasa hapo mleta mada amekukosea nini mpaka utamke maneno machafu kiasi hicho?
Nyie ndio wale watoto mliopatikana baada ya kondom kupasuka!!!
Huyo jamaa noma,yaani hiyo machine ya Adia ni hatari.Ngoma ya Oliver Ng'oma inayoitwa ADIA ni hatari na nusu aisee, hakika mziki wa zamani ulipikwa na ukapikika...
14. Mabele ft loketo ~ Betty
15. Tshala-mwana ~ Seli Pere
16
Hiyo nyimbo ya Ridhiki NI Bab kubwa kile kinanda alipiga bizman naskia?Ni kweli kabisa.
Ukisikiliza interviews za Master J, anasema kabisa kwamba walikua wanachangia kutengeneza beat watu kadhaa. Then mixing na mastering zinafanywa na wengine pia. The same kwa sound crafters, akina Bizzman na Enrico walikuwa wanafanya kazi pamoja kupika muziki mzuri. Ukisikiliza albamu ya RIZIKI ya K Bazil utakubaliana na hili
Msameheni wakuuMkuu una historia yeyote ya kuumwa ugonjwa wa matatizo ya akili?
Sasa mbona unatumia lugha isiyo na staha.
Huyo jamaa noma,yaani hiyo machine ya Adia ni hatari.
Huyo jamaa noma,yaani hiyo machine ya Adia ni hatari.
Kali zaidi iliyobamba ni ''Bane'' ila huyu jamaa sio Mkongo ingawa aliimba mahadhi ya kikongoHuyu jamaa alikuwa na mawe makali mengi sijui bado yupo ama?
Ngoma zake zilkuwa zimekaa kwenye mzani mzuri huyu ndo mtaalam wa zouk mwenyewe
Huyu jamaa alikuwa na mawe makali mengi sijui bado yupo ama?
Ngoma zake zilkuwa zimekaa kwenye mzani mzuri huyu ndo mtaalam wa zouk mwenyewe
Nakumbuka kipindi nipo chuo nilikuwa nazo kwenye external yangu,kuna rafiki yangu mzee wa makamo nilimuzima external mpaka leo hakunirudishia.Kabisa mkuu hizi nyimbo niko na DJ mix moja sema kule wameunganisha vipande vipande nikashindwa kung'amua ni nani hasa ameimba baadhi ya nyimbo mule kwenye Dj mix nashukuru kuna nyimbo nimezipata naomba sana kama una playlist unisaidie nizishushe nyimbo nzuri sana hizi...
Panchito naomba uweke list nyingine tafadhali..
Ni vitoto vidogo utakuta kanasoma form 2 kanamiliki simu sasa hapo kakiingia JF kanahisi kama kako FacebookNimeshangaa sana mkuu hasira zote hizo kazitoa wapi huyu?
Aibu nimeona mimi
Hahahah dah nimecheka Sana hata muandiko wake unaonesha mkuuNi vitoto vidogo utakuta kanasoma form 2 kanamiliki simu sasa hapo kakiingia JF kanahisi kama kako Facebook
Hata Mimi mkuu nimezijulia kupitia mzee wangu na hata nilipokuwa dj ilibidi nizijueSijaju kama yupo hai au kishatangulia mbele ya haki.
Mimi hawa wanamuziki wa zamani,sijui akina Madilu,Alous Mabele,Daliki Moko,Lokasa ya Mbongo,Yondo Sister,Bozbozana,Tabuley,Franco,Shera Mwana,Mbilia bel,Oliver Ngoma ,Pepe Kale ,Wenge BCBG nk nime wajulia kupitia baba yangu.
Mara nyingi kipindi nipo O-Level mzee mida ya saa 5 usiku alikuwa anatoka na redio yake,anakaa karibu kabisa na dirishani kwangu yaani hapo zinapigwa ngoma juu ngoma mpaka saa 7 usiku mzee anaenda kulala.
Nimefatilia kumbe alikuwa mtu wa Gabon mkuuKali zaidi iliyobamba ni ''Bane'' ila huyu jamaa sio Mkongo ingawa aliimba mahadhi ya kikongo