Producers wa sasa kina es2kizzy na Laizer, Abbah jifunzeni muziki mzuri kupitia bolingo za nyuma muache huu utopolo

Producers wa sasa kina es2kizzy na Laizer, Abbah jifunzeni muziki mzuri kupitia bolingo za nyuma muache huu utopolo

Oliver ngoma, alishafariki mgabon huyu. Nakumbuka ilikuwa 2010, alikuwa na shida ya figo. Kwa upande wangu, huyu na monique seka ndio waliokuwa vinara wa zouk afrika.
Day jamaa alikuwa anajua sana
Kumbe nyimbo zake nyingi background alipiga guitar mwenyewe
 
Kwa wale wapenzi wa muziki wa zamani bolingo japokuwa mimi sio old skool ila nimetokea tu kuzijua nyimbo nyingi kutokana na nature ya kazi nilizowahi kufanya na ninazofanya

Ninachojiuliza zamani teknolojia kuwa ndogo lakini mbona bolingo hizo nyingi sauti na vyombo vimepangiliwa kwa ufasaha maskioni nini siri kubwa hasa waliyotumia?

Yaani unajikuta tu nyimbo huchoki kuiskiliza Nyimbo kama ya mwanamama tshala muana "Mario" unachokaje kwa mfano? Sound safi ,vyombo vimepangiliwa vizuri .
Utachagua ipi? Bado sana ya kina nyange? Aah wapi?

Hizi ni baadhi ya nyimbo za zamani zitakazokupa usikivu mzuri kwenye maskio yako.

1: Franco - Mario
2; Monique Seka - Okaman
3: Tshala Muana - Mario
4: Madilu System- Yajaa
5; Madilu System -si je sa vais

6: Tabu Ley - Ibeba
7: Mbilia Beli - Nairobi
8: Madilu System - Sansa ya papi
9: Nyimbo zote za Franco
10: Oliver Ngoma - Icole
11: oliver ngoma - Lusa, Alphonsie
12: Kanda Bongoman - Muchana
13: Bozi Boziana - Pitie

Hizo kwangu Mimi wamepatia sana waliorekodi na kupiga vyombo
Walifanya vipi ikiwa maproducer wa sasa wana equipment nzuri na wanatengeza muziki big g?

Ongezea zako.

Siku hizi imba matusi ndio utatoboa ila ukiimba elimu utasikilizia tu kwa bomba watu wanapenya
 
Huyu dogo anayeitwa Luhan chen,mbona kapaniki sana au ni producer wa kizazi kipya?

Mbona hana adabu,dogo kajiunga lini humu,hajui terms and conditions za humu ndani?

NB:kuna wimbo wa Country boy na s2kizzy pamoja na khaligraph Jones unaitwa wanaona haya ni nzuri sana

Genre:hip-hop
Producer: S2kizzy
 
Huyu dogo anayeitwa Luhan chen,mbona kapaniki sana au ni producer wa kizazi kipya?

Mbona hana adabu,dogo kajiunga lini humu,hajui terms and conditions za humu ndani?

NB:kuna wimbo wa Country boy na s2kizzy pamoja na khaligraph Jones unaitwa wanaona haya ni nzuri sana

Genre:hip-hop
Producer: S2kizzy
Tumsamehe tu mkuu huenda hajakua kua bado

Huo wimbo ni mzuri lakini vizuri vinakuwaga vichache tu mkuu

Nasema uongo?
 
Kuna huu wimbo zouk wa kitambo
Steve kana - my love
 
Sam mangwana - toujou OK
Sam mangwana - kabibi
The Marshall tusker band - corola
Oliver ngoma- muendu
 
Unazungumzia hawa wa "Unachukua, unaweka, waah!?"
 
Kwanza nikusahihishe hakuna muziki unaitwa bolingo. Bolingo ni Neno la kilingala lenye maana ya mpenzi. Muziko huo ni Rumba ulioza genres kama sebene na baadae sokous. Sisi Tanzania tunaita muziki wa dansi ambao unabeba matawi hayo.

ila nakubaliana na wewe. Kwakweli hii bongoflava sisi ni muziki uliojaa ujanjaujanja sana. Tazama hata live band wanazopiga wabongo flava. Hazina ladha kabisa.
Ila nilisikia copy wanazopiga kwenye show zao (soukous) esp Diamond aisee sound yake ni hatari mno hadi unajiuliza ni hawa hawa wanaopiga ule utopolo wao kweli??
Pia ubora wa studio na sound engineering skills(hii ni tofauti na beat making kabisa) una matter sana.ndo maana hata wakongo wenyewe huwafuata producers wakubwa huko Belgium na France ili kupata quality hii na huwatumia pia kwenye show zao maalum za live ili taste isipotee.
 
Ila nilisikia copy wanazopiga kwenye show zao (soukous) esp Diamond aisee sound yake ni hatari mno hadi unajiuliza ni hawa hawa wanaopiga ule utopolo wao kweli??
Pia ubora wa studio na sound engineering skills(hii ni tofauti na beat making kabisa) una matter sana.ndo maana hata wakongo wenyewe huwafuata producers wakubwa huko Belgium na France ili kupata quality hii na huwatumia pia kwenye show zao maalum za live ili taste isipotee.
Diamond? Nyange ama?
 
Usione kwa kuw ww ni mtu wa 1980's ukatak na sis wa mitano tena tupewe uchafu wenu wa zamani..

MBWEHA WEWE
wakuu naomba ieleweke kuwa shemej yake ameficha remote na kumkoromea aache kulelewa ,mwanaume kamili anayejitegemea na kupambania maisa kwa ajiri ya familia hawez tamka ivi,kwaza uo muda unautoa wapi,

fikira mtu anakutukana bila kumkosea unahisi kichwan mwake kuna nini[emoji1][emoji1][emoji1].

huyo n gradiate annalelewa na shemej yake kwa huruma ya dadaake.

THINK :
 
Tatizo biti inatengenezwa na mtu mmoja.Nilikuwa naangalia Sauti Sol daah wale jamaa,yule mpiga gita wao anaplay part kubwa sana ya kupata biti unique wanapoingia studio,plus na wao wana uwezo wa kupiga vyombo vya muziki,product inayotoka hapo lazima iwe unique.

Bongo producer mmoja anafanya kazi kibao,kila kitu anafanya yeye lazima biti zitajirudia,kichwa kinachoka mwisho wa siku ubunifu unakuwa hamna.

Lakini kama biti ingekuwa inatengenezwa na watu wengi lazima biti zetu zingekuwa na upekee.

Ila tusiwalaumu maproducer tatizo wasanii wa bongo fleva hawapi thamani maproducer wanawazulumu kila siku,tena kama hawa wenye majina wanapenda dezo utawasikia "bila mimi wewe wasingekujua.....",wakati msanii mwenyewe hajui kupiga hata manyanga,vocal yenyewe ya kawaida.
umesema ukweli kabisa, mfano band ya TP OK JAZZ ilikuwa na wapiga guitar wengi mfano franco na simaro lutumba, pia walikuwepo watu wa saxofone nk, utunzi alikuwepo simaro lutumba na wengine wengi matokeo yake ni muziki mzuri, kuna kipindi unakuta wimbo umetungwa na kuimbwa na watu tofauti mfano wimbo mmoja unaitwa "liwa ya bowule" huu ulitungwa na simaro nadhani ila aliyeimba ni mwanamuziki ambaye hana jina kubwa, hii ilifanya band ya TP OK JAZZ kutoa nyimbo nzuri
 
Tatizo biti inatengenezwa na mtu mmoja.Nilikuwa naangalia Sauti Sol daah wale jamaa,yule mpiga gita wao anaplay part kubwa sana ya kupata biti unique wanapoingia studio,plus na wao wana uwezo wa kupiga vyombo vya muziki,product inayotoka hapo lazima iwe unique.

Bongo producer mmoja anafanya kazi kibao,kila kitu anafanya yeye lazima biti zitajirudia,kichwa kinachoka mwisho wa siku ubunifu unakuwa hamna.

Lakini kama biti ingekuwa inatengenezwa na watu wengi lazima biti zetu zingekuwa na upekee.

Ila tusiwalaumu maproducer tatizo wasanii wa bongo fleva hawapi thamani maproducer wanawazulumu kila siku,tena kama hawa wenye majina wanapenda dezo utawasikia "bila mimi wewe wasingekujua.....",wakati msanii mwenyewe hajui kupiga hata manyanga,vocal yenyewe ya kawaida.
Kweli kabisa wajina
 
Umesahau nyimbo zote za yondo sister

Na awilo longomba
 
14. Mabele ft loketo ~ Betty
15. Tshala-mwana ~ Seli Pere
16.
Naongeza
16. Kassav - Oule’
17.Oliver N’Goma- Betty
18. Oliver N’Goma - Nge’
19.
14. Mabele ft loketo ~ Betty
15. Tshala-mwana ~ Seli Pere
16.
Naongeza
16. Kassav - Oule’
17.Oliver N’Goma - Nge
18.Oliver N’Goma - Passi
19.Oliver N’Goma - Betty
20. Tshala Muana- Kokola
 
Back
Top Bottom