We unatakiwa upewe K vant kama pombe za maana unazichezeaπTatizo vichungu kama muarobaini[emoji38]
Dah yaani ile siku niliogopa kukudisapoint tu,ulitoa hela ndefu mwanangu,nikawaza naindokaje ,umenimiminia,we jamaa[emoji23][emoji23]uliniweza.
ChunguNaomba maneno hayo uyaongee baada ya kumaliza glass 3 za nguvu!
Jaribu desperado next time ina sukari sukari!Chungu
Siwezi kunywa, ingekuwa tamu ningekunywa.
Inanuka mno.,tena harufu mbaya.Yani Dompo unaita kinyesi? Uko wapi kwanza nafikiri nitakuwa na shughuli na kichwa chako hiko[emoji28]
Umekashifu kitu adhimu ndugu. Stakafirullah![emoji23]
Kama ndio hiyo unawaza kunipa basi bora ubadili [emoji38]..
Ile pafu 2 tu niliswaki usiku mzima[emoji23].
Sawa unywe desperado sasa ina sukariInanuka mno.,tena harufu mbaya.
Siwezi hata kuonja.
Nilikuwa na stress vibaya ile siku hamkujua. Mapenzi yangeniua. Ulivoondoka nililamba Kvant nyingine 3. Hornet Mungu anamuona [emoji23][emoji23]Hivi ulimaliza chupa lote lile[emoji134][emoji38]
Unachochea Moto[emoji23]Heheheheh Amarula si maziwa maziwa [emoji28][emoji28][emoji28]!!! Aisee mpatie Desperado kwa heshima yangu! 3 bottles
Siwezi hata kulamba.We unatakiwa upewe K vant kama pombe za maana unazichezea[emoji28]
Yani nikimpatia huyu atakuja kusimulia. Sijamkatia tamaa badoAnalamba lamba pombe kumbe! Anatakiwa anywe pombe analeta utoto huyu[emoji28]
ππππππ walikukosea hapo unatakiwa umeze spirit moja haina chungu wa sukari kama maji tu π uchanganyiwe na spriteUnachochea Moto[emoji23]
Nao waliniambia ipo Kama maziwa tu si unaona!
Kuangalia kweli naona km maziwa,nikaangalia weee..wakanitia upepo,si nikaonja[emoji21],,chunguuuu kama vidonge
Ataiweza kweli ile ladha?Heheheheh Amarula si maziwa maziwa [emoji28][emoji28][emoji28]!!! Aisee mpatie Desperado kwa heshima yangu! 3 bottles
Desperado haina uchungu! Atasukuma ile bila shidaAtaiweza kwelo ile ladha?
Hii kazi niliwaachia wao ila naona wamefeli,siku ya kwanza tu wamenipa vitu vichungu.Jaribu desperado next time ina sukari sukari!
Ntaionja then ntamtest nayo. Pisi zinaipenda sana hii ngoja tuoneDesperado haina uchungu! Atasukuma ile bila shida
Achanganyiwe kwenye mirinda nyeusi na ice... hatoisikia kabisa. Kuna pisi nilizifundisha pombe kwa mtindo huuWe unatakiwa upewe K vant kama pombe za maana unazichezea[emoji28]
Au kama unaweza mpe balantines ile chupa ndogo ya 13K ile! Kale kapombe hakana uchungu kanashuka kama maji tu π π π sema muwekee kwenye sprite ainjoy sukari maana hakana sukari pia!Yani nikimpatia huyu atakuja kusimulia. Sijamkatia tamaa bado
Eeh huyu unatakiwa umchanganyie kwenye Soda! Mpe desperado au mtie balantines ile chupa kama K-Vant ndogo hivi! Sema mtilie kwenye soda hii balantines atainjoya sana π π πAchanganyiwe kwenye mirinda nyeusi na ice... hatoisikia kabisa. Kuna pisi nilizifundisha pombe kwa mtindo huu
tutamuua bureAu kama unaweza mpe balantines ile chupa ndogo ya 13K ile! Kale kapombe hakana uchungu kanashuka kama maji tu π π π sema muwekee kwenye sprite ainjoy sukari maana hakana sukari pia!