Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
We unatakiwa upewe K vant kama pombe za maana unazichezea😅Tatizo vichungu kama muarobaini[emoji38]
Dah yaani ile siku niliogopa kukudisapoint tu,ulitoa hela ndefu mwanangu,nikawaza naindokaje ,umenimiminia,we jamaa[emoji23][emoji23]uliniweza.