Piga hiyo mara sita.. Unapata 9 trillion.. Hii nchi hii acha tu tupumue maisha yaendelee.. Kuna vitu ukiwaza sana unaweza kufa kwa jakamoyoTangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Kikwete hakuwa muuaji,Wala hakuruhusu kuteka watu nakuuaUfisadi wa Kikwete unaukumbuka? Hii ni kwa sababu nchi ilipata rais dhaifu na ambaye hajui maana ya urais.
Alivyoingia JPM akawatekenya kidogo tu mkalia ameondoka bado anawatesa ndotoni, hata huyu aliyopo kwa sasa naye ni dhaifu tu kama Godfather wake JK.
Anachojua ni kutembea nchi za ughaibuni kula maisha na timu ya watu rukuki ikiwamo ndugu zake wa ukoo na majirani, huku akiwapachika wezi katika nafasi nyeti kulinda maslahi yake binafsi na Godfather wake.
Nasema tena Taifa lina kiongozi wa kawaida (MNYONGE) sana kwa sasa, huyo Magufuli mnaemsema kwa sasa mtamkumbuka ngoja ifike hapo 2023 mtakuwa mmeisha na kupauka kama vibambara.
Sukuma gang msahau kabisa kuja kushika madaraka katika hii NchiEndeleeni na dharau zenu ila kuna siku mtakua behind bars sisi wauza vitumbua mkituomba tuwaombee msamaha mtoke.
Una uhakika?Kikwete hakuwa muuaji,Wala hakuruhusu kuteka watu nakuua
Mfia legacy huyu.. akili imezikwa na MaguKigoma malima Alipoiba pesa zilionekana zipo benki za nje .Za JPM alizoiba zipo benki ipi ?Au ndio story tu za kutunga za Msoga na wenzake kujifurahisha
Kwaio Dr Ulimboka alijiteka? Said Kubenea alijimwagia Tindikali?Kikwete hakuwa muuaji,Wala hakuruhusu kuteka watu nakuua
Kuna yule mwandishi aliyelipuliwa na bomu pale morogoro bado wale waliokuwa wakiuawa na risasiKwaio Dr Ulimboka alijiteka? Said Kubenea alijimwagia Tindikali?
Watanzania atuendelei kwa kuwa Mnapenda Sana uongo.Tuliambiwa Lowasa na fisadi.Kumbe uongo tupu.Mnatudanganya kuwa JPM alipiga pesa .Je zipo benki ipi hapa duniani?Sisi tunaona miundo mbinu mingi tu aliyojenga.Ambayo Hakuna Rais aliyeqahi kuijenga.Endeleeni kutafuta kiki.Mfia legacy huyu.. akili imezikwa na Magu
Labda chato.Usichanganye mkuu,aliijenfa chato sio nchi yote.Barabara alijenga Kikwete,yeye alijenga viraka tu.Madaraja yote ya maana alijenga mkapa na Kikwete.Yeye alianzisha la busisi lkn kafa halijaisha,mama ndo kamalizia.Reli alianzisha tu,tena lengo lake aitenge kigoma.Lkn mama anaijenga kwa kasi sana,tena sio Dar Mwanza tu,hadi kigoma! Kwenye barabara Kikwete alikaliza,aliacha kigoma na mtara tu ambapo hadi sasa bado hakuna lami.Acheni kudhihirisha ushamba wenu nyie mnaolala na ng'ombe ndaniMagufuli aliiba 20 Trillion na bado aliijenga hii nchi kuliko Rais yeyote. Nyie ambao hamjaiba awamu ya nne na sasa hamuibi awamu hii ya sita tuelezeni hela mlizifanyia na mnazifanyia kazi gani yenye manufaa kwa nchi.
1.5 trilioni zidisha kwa 6Tangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Yalisema na mkaguzi mkuu wa serikali. Jamaa alikuwa mwizi, muongo na muuaji. Ndiyo maana hata CAG mpya aliyemtua yeye mwenyewe kabainisha hili piaKigoma malima Alipoiba pesa zilionekana zipo benki za nje .Za JPM alizoiba zipo benki ipi ?Au ndio story tu za kutunga za Msoga na wenzake kujifurahisha
Atakumbukwa na mbumbumbu tu au nyie wanyonge na Sukuma gangMuda mwingine jitahidi ushirikishe ubongo wako vyema kabla ya kuja kuandika huu ujinga ulioandika hapa, inawezakana vipi triolini 20 kuibiwa ilihali tumeona wakati wa uhai wake miradi mingi mikubwa ya kimkatakati ikiendelea kujengwa na kukamilika.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, na imani hata kama ulaji ulikuwepo ila si kama tulivyoanishwa na ripoti ya CAG, hata kipindi cha Hayati Mkapa, hata mstaafu JK ufisadi ulikuwa mkubwa mno hata kwa huyu mama siku akitoka madarakani mtajua ni jinsi gani alivyofuja fedha za umma, “Embu tujaribu kuwa na akiba ya maneno”.
Kuna mkakati ambao unaendeshwa chinichini na kikundi fulani kumchafua Hayati Magufuli ila na uhakika hawataofanikiwa kamwe maana watu hao hao ndio wanapita katika madaraja yaliyojengwa na huyo wanaemuita mwizi.
Hii dhambi haitowaacha salama kama ambavyo libya inateseka kwa sasa baada ya kumuua Ghadafi, huyu huyu mnaemnanga na kumsingizia kila aina ya uovu akiwa kalala mavumbini ipo siku mtamkumbuka.
Tangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Sawa yumkini zilipigwa nyingi, lakini tuliona kazi zake bila kificho.Tangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Nchi hii kwa kweli ina wajinga wengi sana na wanyonge. Hawa watu ni hatari sana wanapokuwa wengi kwani ni rahisi kumeza propaganda za mtawala bila kuhoji, ndiyo maana Jiwe alijikita sana huko huku akiwakwepa watu wenye weledi. So wewe pia wawez kuwa ni mnyonge au sukuma gang member.Hahaaa hamtoshi kwa Magu,hata mseme ametuiba na sisi Watz hatuamini upuuzi huo.
Na bado mtaongea sana tunawaona hamna agenda
.
Magu hakuna kiongozi kama wewe nchi ilipata,dhahabu yetu.pumzika jembe,Watz wengi wanatambua mazuri yako.
Wizi wa Jk kama upo hauhalalishi wizi wa Jiwe. Ukiiba lazima watu watakusema tu haijalishi ni awamu ya ngapi. Jiwe hakupenda kufanya kazi na watu wenye ueledi, ndiyo maana alimtoa Assad baada ya kugundua wizi wa Jiwe. Alipenda kufanya kazi na watu dizaini yakoUfisadi wa Kikwete unaukumbuka? Hii ni kwa sababu nchi ilipata rais dhaifu na ambaye hajui maana ya urais.
Alivyoingia JPM akawatekenya kidogo tu mkalia ameondoka bado anawatesa ndotoni, hata huyu aliyopo kwa sasa naye ni dhaifu tu kama Godfather wake JK.
Anachojua ni kutembea nchi za ughaibuni kula maisha na timu ya watu rukuki ikiwamo ndugu zake wa ukoo na majirani, huku akiwapachika wezi katika nafasi nyeti kulinda maslahi yake binafsi na Godfather wake.
Nasema tena Taifa lina kiongozi wa kawaida (MNYONGE) sana kwa sasa, huyo Magufuli mnaemsema kwa sasa mtamkumbuka ngoja ifike hapo 2023 mtakuwa mmeisha na kupauka kama vibambara.
Hiyo ni yako,take it to the bank.Nchi hii kwa kweli ina wajinga wengi sana na wanyonge. Hawa watu ni hatari sana wanapokuwa wengi kwani ni rahisi kumeza propaganda za mtawala bila kuhoji, ndiyo maana Jiwe alijikita sana huko huku akiwakwepa watu wenye weledi. So wewe pia wawez kuwa ni mnyonge au sukuma gang member.
Hakuna mtu anayekupangia kitu cha kuandika/kueleza humu. Wewe jikite kwenye kueleza mambo ya kukusaidia au kusaidia wengine na mimi ntajikita kwenye jambo ninalolitaka mimi. Buku saba siyo mimi bali ni sukuma gang ndiyo wanalipwa hivyo. Mimi siandiki kutegemea malipo yoyote kama wewe.Hiyo ni yako,take it to the bank.
Mimi ni Mtz naejielewa sio lazima nikubaliane na propaganda chafu najitambua.
Kwa hiyo buku Saba inafaa mjielewe pia,tuelezeni mambo yanayotusaidia,nchi Ina mahitaji mengi ya msingi mmekalia Mwendazake 24/7.
Mjitambue Alaaar.