Prof. Assad: Niliondolewa kazini kinyume na taratibu kwasababu nilikuwa sifuati maelekezo ya Mtu

acha kujichekesha kwangu,wewe ni nani mpaka uwapangie watu wakati gani aongee nini. BTW Assad hii sio mara ya kwanza kuongea hiki,au ulitaka akiongea aje akupe ripoti?
Ikizungusha sana mikono. Na akili inazunguka.....
 
Naona anafaa kuchukua nafasi ya Prof.Lipumba katika wigo wa siasa za nchi hii.
Hata hivyo sio vibaya akapewa majukumu mengine kwanza ya kuisadia nchi kama
Mshauri wa Mh. Rais katika masuala ya Uchumi,Maendeleo na Uwajibikaji.
 
Huyu Prof na yeye katuchosha kwa umbea, kama alikuwa na huo ujasiri si angesema kipindi anaondolewa
 
Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.

Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Wewe hata degree ukute huna . Unamwita prof uchwara KISA siasa?
Ulishawahi kusahihishwa na prof wewe?
 
Huyu nae!

Sasa analialia nini anataka arudishwe au?
Haliii anaeleza ukweli wa jinsi hali ya mambo ilivyokuwa chini ya lile chizi asante mungu kwa maajabu uliyotutendea hapo 17.3.2021
Nikulipe nn mungu
 
BAADA ya Magufuli kuchaguliwa kuwa mgombea urais wa CCM,Prof. Assad( reckless person) akasema,"Magufuli alipokuwa Waziri wa Ujenzi,aligawa nyumba za serikali ovyo". Hiyo si kama Shimei alivyomtukana Mfalme Daudi. Halafu Daudi aliporudi Shimei ilibidi aende kuomba msamaha.
 

Kwani yeye nae yupo wapi.si kaondolewa kama alivyokuwa anawaondoa wenzake


Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaaa...piga nkupige...nchaka nchaka nguo kuchanika
 
This man is a genious aise, halafu ana maisha simple sana kuna kipindi nilipishana nae pale millenium tower akisubiri usafiri wa Uber.

Kusubilia usafir wa Uber ndo ukampa u genius Na sio genious kumbe! Nenda Shule sio unaandika hata usivyovijua
 
Kwakua Assad nae atakufa, maana yake ni kwamba kila sehemu atamkuta ni imara zaidi yake. Hapa duniani hakuwa chochote mbele ya JPM na hata huko kuzimu atakuwa mgeni mbele ya JPM.
Lakin Assad huyu si ni wa mbinguni!! Navojua mimi Wa mbinguni na wa kuzimu hawachangamani
 
Angemjibu Magufuli haya wakati huo. Nakumbuka aliulizwa kama kweli 1.5T zilipotea au? Akajibu hapana ahahahahah dah Magu aisee alikuwa kifaru, zee la sijida likaingiwa na hofu badae likatimuliwa na kujifanya juaji. Fla sana
Aliyemtimua kibabe naye katimuliwa kisela.
Dunian mbabe Mungu tu.
 
Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.

Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Ww mjane wa mwendazake u hali gan bibie, bado hujapata mrithi hapo lumumba
 
Nahisi ww ndio hujashirikisha ubongo wako kabla ya kuandika

Jamaa amesema huyo cag hakuwa mchumia tumbo kwenye uongozi wa jpm
 
pumba tupu
 
Huwezi kubishana na kichaaa,kwahiyo ulitaka aongee kipindi cha jiwe apotezwe?,wangapi wamejitokeza baada jiwe kuanguka?,embe tumia akili bwana huu ndio wakati sahihi wa kuzungumza
 
Tanzania bado tuna safari ndefu sana kimaendeleo na kifikra, kwahiyo na upo upande wa viongozi ambao hawataka tujulishwe kuhusu upotevu wa ile 1.5tl? Haya ni maajabu kwakweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…