Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Ukweli una kawaida ya KUPANDA NGAZI.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hah
Ndio maanake... Tanzania ni kubwa kuliko hicho kizee kipuuzi kinacholialia.Kwani hata sasa nchi si inakwenda bila ya yule aliyemuondoa?
Hebu tueleze namna unavyomjuaHumjui bali unasikiliza anachosema na kuamini
Kidume hakipo ila watu kawaachia maumivu makali hawataa wapate recovery...ni kulialia mpaka wanakufa nao 😄😄😄Huyo kidume yuko wapi sasa [emoji28]..tumuone mahali alipo akitoa amri
Hivi alimzika mama mkwe wake alivyokufa, tuanzie hapo? Mtu unamkataza mke asizike mama yake mzazi kwa vile aliolewa na Mkristo!!!Hebu tueleze namna unavyomjua
Ila ana roho fulani ya ubinafsi ilitakiwa akae atulie hii ya kulia lia katika media inamtia doa kwa kujiona yeye ni bora zaidi ya wengine.Yaani Prof.Assad ni uchwara?!! Duuh 🤣🤣
Huyo kidume yuko wapi leo hii?Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
🤣Ila ana roho fulani ya ubinafsi ilitakiwa akae atulie hii ya kulia lia katika media inamtia doa kwa kujiona yeye ni bora zaidi ya wengine.
Na hii inaleta tafasri ya kwamba aliumia mno kutumbuliwa 😅
Yuko wapi sasa? Si amepelekwa kuzimu?Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Ila Mungu fundi, na ukimuona mwenzio takataka Mungu yeye anamuona kuwa anapendeza kuishi kwenye Dunia yakeAnalazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?
Huyo jiwe yuko wapi leo hii??Jiwe alikuwa jiwe kweli kweli...si unaona Prof bado analia machozi ya damu haja-move on [emoji1][emoji1][emoji1]
Kuzimu.Huyo jiwe yuko wapi leo hii??
Ndioa wasomi wetu hawa lakni wanalilia V8 za serikali, na washukuru sana awamu ya tano kwa kuwateua kushika nyadhifa mbalimbali serikali maisha yao tunayafahamu vizuri sana kabla ya kuteuliwa kushika nyadhifa hizo.
Wewe umjuaye tuambie tujue unacho jua.Humjui bali unasikiliza anachosema na kuamini
Hujui hata katiba inaeleza nini mtu akishashika nafasi ya CAG.Profesa uchwara aliyejifanya mhimili wakati mihimili iko 3 tu.
Ajaribu kugombea urais basi labda timu gaidi watamsajili 2025.
Aliondolewa na chuma kilichoyeyushwa na 'kovidi' kwa muda wa siku tatu.Analazimisha kuonekana ni mtu msomi anaejielewa ana misimamo.
Bahati mbaya alikutana na Chuma.
Nilichokuwa nampendea yule baba JPM ukijifanya wewe ni wa muhimu sana kwenye hii nchi yeye anakuonesha namna ulivyo takataka tu na nchi inaweza kwenda mbele bila wewe hahahah.
Profesa uliondolewa na kidume sasa unalialia nini!!?