johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Watu wana maradhi yao msisingizie clinic epukeni ukimwiHiyo clinic ina record ya kutibu watu wenye changamoto ya upumuaji!?
ukienda mbavu zimebana unapona ndani ya masaa mawili ! nenda hapo utaona palivo na migari ya V8 watu wanaponeaHiyo clinic ina record ya kutibu watu wenye changamoto ya upumuaji!?
wacha kujificha kwenye UKIMWI tumekua nao tangu mwaka 70 huko kwamba leo ndo uchachamae kuua hivi ili hali ARVS zipoWatu wana maradhi yao msisingizie clinic epukeni ukimwi
ukienda mbavu zimebana unapona ndani ya masaa mawili ! nenda hapo utaona palivo na migari ya V8 watu wanaponea
Haka ka changamoto nako kameambiwa kalambe kuanzia 60+ ila kuna muda kanakosea.Only 48
mie sio dalali ila nenda kashuhudie! hatav viongozi wapo hapo wanatibiwa! jali uhai wakoKweli kiongozi?
Nina imani hiyo miaka ya 90 hata profesa alikuwa bado ni mwanafunzi.Naamini itakuwa way back 90's..kina
Saint Ivuga Ivuga wanazaliwa
Tusingizie changamoto za upumuaji?Corona isisingiziwe! maana sasa hivi wengi wana tabia ya kusingizia Corona