TANZIA Prof. Cosmas Mligo wa UDSM afariki dunia

TANZIA Prof. Cosmas Mligo wa UDSM afariki dunia

Wana MIVA tumepoteza mtu muhimu sana. Pia sikujua kama alikuwa ni Professor mpaka nilipoona barua inayomtambulisha kuwa ni professor. Na alikuwa ni msomi wa level ya PhD peke yake pale kijijini kwetu.
Professor Cosmas Mligo alikuwa mzaliwa wa Kijiji cha Miva, mkoa wa Njombe. Nimeandika hivi ili wale wanao changanya kuwa alikuwa wa wapi wajue.
 
Wana MIVA tumepoteza mtu muhimu sana. Pia sikujua kama alikuwa ni Professor mpaka nilipoona barua inayomtambulisha kuwa ni professor. Na alikuwa ni msomi wa level ya PhD peke yake pale kijijini kwetu.
Professor Cosmas Mligo alikuwa mzaliwa wa Kijiji cha Miva, mkoa wa Njombe. Nimeandika hivi ili wale wanao changanya kuwa alikuwa wa wapi wajue.
Acha ukabila, tafuta pesa
 
Back
Top Bottom