Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
Mkuu, ufafanuzi pls..
Hiyo clinic inafanya sauna, au?
sauna? huko sindano za mishipa! Italian technology! hatari hao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ufafanuzi pls..
Hiyo clinic inafanya sauna, au?
sikuwahi kujua hili..alikua anapiga?alikuwa mgegedaji wa vitoto vya watu rip PROF.
Mmh mkuu umeniwazisha sanaNawaza tu, nikifa Leo nitakua boonge la looser maana nimejinyima sana ktk maisha yangu ili kutengeneza the so called "FUTURE" kumbe muda wowote mtu unakufa na unakua hujala maisha effectively!
Ndaki ni college mkuuRIP Professor Cosmas.
Mkuu nisaidie manake acha tu Kiswahili kiheshimiwa. Nimejaribu sana ku-guess Kizungu cha "Idara ya Elimu Mimea, Ndaki ya Sayansi Asilia na Tumizi." hadi nikachoka hadi ninapokutana na hiyo CONAS!! Inawezekana ikawa ni "College of Natural Applied Science" kwenye kitivo cha Botany?! Kama ndiyo, "Ndaki" ndo nini?
Jamaa alikua kichwa Sana, mtu na nusu kwa lugha ya mtaa. Akili kubwa, halafu Yuko simple tu. Hana majivuno hata kidogo. Ana machapisho kibao ya kisayansi kwenye journals za kimataifa. Alijua kufundisha na kuinua wanyonge! Nimeumia sana. Lakini Mungu ndio anajua zaidi.Nilikuwa namuona mtaani ni ngumu kuamini kama alikuwa Profesa
Dunia Tunapita
Sent from my Redmi 8A using JamiiForums mobile app
Hizi Tanzia zinatufanye tujiwazie sana Mkuu.Mmh mkuu umeniwazisha sana
Mkuu tafuta hii kitu EthanobotanyRIP Professor Cosmas.
Mkuu nisaidie manake acha tu Kiswahili kiheshimiwa. Nimejaribu sana ku-guess Kizungu cha "Idara ya Elimu Mimea, Ndaki ya Sayansi Asilia na Tumizi." hadi nikachoka hadi ninapokutana na hiyo CONAS!! Inawezekana ikawa ni "College of Natural Applied Science" kwenye kitivo cha Botany?! Kama ndiyo, "Ndaki" ndo nini?
Aelekeze watu Kama kweli clinic inasaidia jamani , maana mambo si shwari.Hiyo clinic ina record ya kutibu watu wenye changamoto ya upumuaji!?
Asante Mungu akubariki kwa kumuelezea vizuri Prof Mligo!Jamaa alikua kichwa Sana, mtu na nusu kwa lugha ya mtaa. Akili kubwa, halafu Yuko simple tu. Hana majivuno hata kidogo. Ana machapisho kibao ya kisayansi kwenye journals za kimataifa. Alijua kufundisha na kuinua wanyonge! Nimeumia sana. Lakini Mungu ndio anajua zaidi.
“Idaya” ya Elimu mimea?
Nani mwandishi wa hilo tangazo??
Sitaki kuamini UDSM imeshuka viwango kiasi hicho.
I digress....
Pole zao wafiwa [najua wale anti-Magufuli in everything brigade wanazifurahia hizi habari].
Hadi pale mwamba atakapoguswa la coruna bado yupo yupo sana.
Mwenzio katoboa mpaka PhD Kisha Uprofesa wewe umebaki na form 4 leaving certificate! This world is not fair.Mie ni class mate wangu tumehitimu form 4 Uwemba sec ipo Njombe.Very sad kumpoteza mate wangu.Imenishtua Sana.
1990Mwaka gani?
Lakini mie sikutaka kusema level ya Elimu niliyofikia ingawa ni kweli sijafika alipofika yeye.Lakini si haba Nina maisha ambayo naamini si haba nashukuru Mungu.Mwenzio katoboa mpaka PhD Kisha Uprofesa wewe umebaki na form 4 leaving certificate! This world is not fair.
Jichungeni tu hakuna cha wazee wala vijana wanapiga kotekote! Mlitaka kutunyanyapaa sana sisi wazee!Haka ka changamoto nako kameambiwa kalambe kuanzia 60+ ila kuna muda kanakosea.
RIP Prof kijana...so sad.
Duh, 48 ni kijana huyo? Kwa mujibu wa sera ya vijana, umri wa kijana ni miaka 35 full stop!Da! Bado kijana.
Duh!!! Nguvu zimeniisha!!!
Umejuaje kwamba amebaki na Form IV Leaving Certificate?! Au aliosoma nao marehemu O-Level wote waliishia kupata cheti cha kuhitimu pekee?!Mwenzio katoboa mpaka PhD Kisha Uprofesa wewe umebaki na form 4 leaving certificate! This world is not fair.
Hapa nimepata mwanga, manake wengine walikuwa wanazidi kunichanganya tu! ThanksMkuu tafuta hii kitu Ethanobotany