TANZIA Prof. Cosmas Mligo wa UDSM afariki dunia

TANZIA Prof. Cosmas Mligo wa UDSM afariki dunia

Attachments

  • Screenshot_20210228-072611~2.png
    Screenshot_20210228-072611~2.png
    16.9 KB · Views: 1
Hawa maprofesa wanaona upumbavu wa serikali yao wanakaa kimya kuogopa kufukuzwa kazi.
Badala yake wanakufa kipumbavu sana
 
acha ujinga! unafkiri ni kwa Dr gwajima hapo?
Kama siyo kwa Dr Gwajima,na wao kwa Nini wasitoke hadharani na kutangaza kwa Taifa zima Dawa ya Corona ni mchanganyiko fulani Kama ni kweli Dawa wanayo! Maana msije na vitangazo vyenu Mbuzi vya kuwapiga Watu kupitia tahaaruki ya hili gonjwa la Corona!!
 
Dah ! Innalillah wa Inna Ilayh rajiun

Mwalimu wangu huyu ,alinifundisha pale CONAS
 
Corona isisingiziwe! maana sasa hivi wengi wana tabia ya kusingizia Corona
Kweli mkuu, kurona itaua nchi zote duniani kasoro tz tu ndio maana huwezi sikia mtu kafa kwa korona zaidi ya kusingizia
 
“Idaya” ya Elimu mimea?

Nani mwandishi wa hilo tangazo?...
"Ndaki ya sayansi asilia na tumizi" badala ya,"ndani ya sayansi asilia na tumizi".

Ni aibu kwa chuo kikongwe kama UDSM kutoa taarifa pasipo kuihariri vizuri.
 
Kama hakushtuka Kwa rafiki yake Kijazi hata Maprofesa wote waishe hajali. Atachukua Wana CCM awape uprofesa.
 
Back
Top Bottom