uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Apo udsm si wana dawa ya fukiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zinafikirisha nini?Aisee hizi Tanzia zinafikirisha sana.
Cut the long shit short“Idaya” ya Elimu mimea?
Nani mwandishi wa hilo tangazo??
Sitaki kuamini UDSM imeshuka viwango kiasi hicho.
I digress....
Pole zao wafiwa [najua wale anti-Magufuli in everything brigade wanazifurahia hizi habari].
How ‘bout I cut your ass...?Cut the long shit short
Itakukuta hukohukoMi nimejifungia ghetto.
RIP
Kwani una arllegy na Corona ! YEHODAYACorona isisingiziwe! maana sasa hivi wengi wana tabia ya kusingizia Corona
Kwani sasa hivi ikoje?.Dah...enzi hizo tosa tosa kweli
Profesa mdogo kabisa.Only 48
Ilitosha tu kutuambia kuwa alikusimamia kwenye sp yako,hayo Mambo ya kupata A hakukuwa na ulazima huo kwa Kweli.Aiseeh huyu ndio alinipa "A" kwenye reseach project yangu ya mwaka wa 3 Pale CONAS botany department!! Very sad kwa kweli, Mwenyez Mungu ailaze Roho yake mahala pema!!
RIP Professor Cosmas.Aiseeh huyu ndio alinipa "A" kwenye reseach project yangu ya mwaka wa 3 Pale CONAS botany department!! Very sad kwa kweli, Mwenyez Mungu ailaze Roho yake mahala pema!!
Nawaza tu, nikifa Leo nitakua boonge la looser maana nimejinyima sana ktk maisha yangu ili kutengeneza the so called "FUTURE" kumbe muda wowote mtu unakufa na unakua hujala maisha effectively!Zinafikirisha nini?
“Idaya” ya Elimu mimea?
Nani mwandishi wa hilo tangazo??
Sitaki kuamini UDSM imeshuka viwango kiasi hicho.
I digress....
Pole zao wafiwa [najua wale anti-Magufuli in everything brigade wanazifurahia hizi habari].
🖕U are mad nani anafurahia kifo ?? tatizo ni nyie na propaganda za kishenzi.
Mambo ya BOMBACACEAE...namkumbuka pale TPRI herbarium enzi za kina DR MzirayAiseeh huyu ndio alinipa "A" kwenye reseach project yangu ya mwaka wa 3 Pale CONAS botany department!! Very sad kwa kweli, Mwenyez Mungu ailaze Roho yake mahala pema!!