Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

Kuna siku nilikuwa pale muhimbili wakapita manesi wawili wakiwa na kitanda cha matairi .kwenye jua Kali alafu hawakumfunika yule jamaa usoni cha ajabu yule jamaa Wala hakutukisika Wala kukunja uso nikajua tayari chuma kimeshakata Moto kinaelekea kwenye jokofu
 
Back
Top Bottom