Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

Hii ni siasa tu. Hata hajui anaongeza gharama zisizo na maana. Akikua ataacha.
 
Kuna siku nilienda kuchukua maiti pale,tulikaa sana maana tulikuwa tunasafirisha. Lile wenge la kuona maiti kwenye yale vitanda vya bati akili iliruka kabisa. Maiti yetu imeondoka sina habari akili haikuwepo maana kila mara zinapita moyo ulijaa hofu na akili yangu ilisizi kuja kustuka maiti ilishaenda kanisani.
 
sawa umwambie aisitukataze kula maini

nani kakuambia mtu akishakufa anaambukiza mwingine magonjwa?.Wao sio wajinga mgonjwa aliyekufa kwa gonjwa la hatari sana linaloweka kuambukiza mfano Covid,kipindupindu na ebola treatment yake lazima itakuwa ni special.Mtu kafa kwa kisukari au ajali ya gari wewe utapata maambukizi vipi
Uwezo wako wa kufikiri umefikia level ya juu kwako ,naona unaona ni vema kwa police defenders pia kubeba maiti ni sawa, Tanzania tutasubiri sana kufikia first world's kutokana na ufikiri wa kizuzu kama huu,kwa hiyo akiyegongwa na gari na kufa means hakua na magonjwa ya kuambukiza!!,endelea kulalamika humu na viajira uchwara
 
Ufie wodini, mwili ubebwe na ambulance kwamba hizo gari zinaingia wodini? Najua mortuary ziko huko huko ndani ya majengo.

Hawa wasomi mbona wanatuchanganya?
Inaonekena huijui ukubwa wa muhimbili ilivyo, baadhi ya wodi na wodi au na mortuary zilipo ni umbali unaozidi kilometa moja na zaidi, ni shida sana kwa wahudumu kumuhamisha mgonjwa au maiti toka sehem moja mpk nyingine
 
Umeshasema korido,kwa hiyo itasogwezwa na kitanda umbali mfupi
Duh, kwani kila jambo lazima mchangie, hata km huna uelewa nalo ndugu, ni vizuri wakati mwingine kusoma maelezo ya wengine, unaweza kujifunza kitu.
Mtawanyiko wa wodi zote na sehemu zote za hudama pale muhimbili zinafikika kwa miundombinu yote, yaani kuna njia za gari na kuna njia za waenda kwa miguu, napia zingatia kuna baadhi ya wodi na sehemu nyingine ya kupata huduma umbali ni mkubwa sana, zaidi ya kilometa moja, sasa vuta picha kumburuza mgonjwa kwenye kitanda kwa umbali huo ili akapate hudumu.
Sio kilakitu kuja na mawazo hasi, anagali na mazingira ya jambo yalivyo.
 
Duh, kwani kila jambo lazima mchangie, hata km huna uelewa nalo ndugu, ni vizuri wakati mwingine kusoma maelezo ya wengine, unaweza kujifunza kitu.
Mtawanyiko wa wodi zote na sehemu zote za hudama pale muhimbili zinafikika kwa miundombinu yote, yaani kuna njia za gari na kuna njia za waenda kwa miguu, napia zingatia kuna baadhi ya wodi na sehemu nyingine ya kupata huduma umbali ni mkubwa sana, zaidi ya kilometa moja, sasa vuta picha kumburuza mgonjwa kwenye kitanda kwa umbali huo ili akapate hudumu.
Sio kilakitu kuja na mawazo hasi, anagali na mazingira ya jambo yalivyo.

Duh, kwani kila jambo lazima mchangie, hata km huna uelewa nalo ndugu, ni vizuri wakati mwingine kusoma maelezo ya wengine, unaweza kujifunza kitu.
Mtawanyiko wa wodi zote na sehemu zote za hudama pale muhimbili zinafikika kwa miundombinu yote, yaani kuna njia za gari na kuna njia za waenda kwa miguu, napia zingatia kuna baadhi ya wodi na sehemu nyingine ya kupata huduma umbali ni mkubwa sana, zaidi ya kilometa moja, sasa vuta picha kumburuza mgonjwa kwenye kitanda kwa umbali huo ili akapate hudumu.
Sio kilakitu kuja na mawazo hasi, anagali na mazingira ya jambo yalivyo.
Rubbish,Soma ulichokiandika,alafu unajiona unaelewa Sana ,muandiko wenyewe huo
 
Ila wale jamaa wanaondesha vile vitanda vya kubebea maiti wana jeuri balaa alfajiri alfajiri hata mtu hajafa unamkuta nacho anakivuta kwa hasira mle koridoni utadhani ni vile vimkokoteni kule mlimani city supermarket[emoji38]
 
Ila wale jamaa wanaondesha vile vitanda vya kubebea maiti wana jeuri balaa alfajiri alfajiri hata mtu hajafa unamkuta nacho anakivuta kwa hasira mle koridoni utadhaji ni vile vimkokoteni kule mlimani city supermarket[emoji38]
Ila madereva wa zile ambulance wamewezwa maana walikuwa wanaiba sana mafuta bila kufanya kazi[emoji23]
 
Ufie wodini, mwili ubebwe na ambulance kwamba hizo gari zinaingia wodini? Najua mortuary ziko huko huko ndani ya majengo.

Hawa wasomi mbona wanatuchanganya?
Gharama za mafuta sasa...watanzania hawazioni
 
JKCI si imepakana na mortuary ya Muhimbili. Au ni JKCI ipi ipo hiyo ndugu?
Sijui alimaanisha MOI, manake JKCI ni pua na mdomo toka mortuary.

Hii ya kutumia ambulance kubeba maiti nayo ni mpya, wangenunua gari special moja tu la kubeba maiti, ambulance sio za kubeba maiti.
 
alafu Kuna mtu anawaza kujiua.
Ebu nenda monchwari ukaone balaa.
Mimi Kama kungekuwa na maombi ningeomba nisife milele
 
Kuna wodi zipo mbali na monchwari unalijua hilo?
Lengo lake ukishamtoa wodini marehemu gari linamsubiri nje ya mlango wa wodi ili limpeleke marehemu monchwari
Hakuna la maana hapo. Kuongeza gharama zisizo na msingi. Tutengeneze tu mapito yetu tungali hai mengineyo hayo ni kazi bure tu
 
Back
Top Bottom