Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

Prof. Janabi apiga marufuku wagonjwa kusukumwa kwenye vitanda Muhimbili

Tusifanyane watoto hebu, serikali hii ya kutoa magari kubeba marehemu iko wapi?

hata yakitolewa yatafanya kazi wiki 1 kisha kwisha,utaskia gari bovu,dereva hayupo

huu utaratbu utakua unafanywa kwa VIP tu tena n kwa kuogopa kwasababu macho ya

watu ni mengi,ila kwa kina sisi kajamba nani Tutaburuzwa tu na vitanda vyetu hadi kwenye majokofu yetu tukapumzishwe.

uzuri ni kwamba hatutolalamika kwasababu mtu wetu kashaenda hizo zingine mbwembwe tu.
 
Kwanin wanajenga mochwari mbali sana
unajiskiaje ukiingia tu mlangoni pale wodini pembeni kuna jengo la mochwari?

au wodi utakayolazwa dirisha lenu linatazamana na mlango wa mochwari!

pata kale ka feeling ukisha ka sense utapata jibu la kwanini mochwari zijengwe mbali
 
Baada ya kuwaza kuwaboreshea huduma waliokuwa hai badala yake anawaboreshea huduma marehemu ambao wao yameshawaishia hapa duniani.........kweli maiti zinataka stara lakini waliokuwa hai ndio wanataka stara zaidi ili waendelee kubakia kuwa hai.....
Mafuta yatumikayo kwenye magari

Mishahara walipwayo hao madereva

Service za hayo magari yatayotumika

Hizo pesa zote zingeweza fanyia kitu kizuri sana walioko hai mawodini
 
Mafuta yatumikayo kwenye magari

Mishahara walipwayo hao madereva

Service za hayo magari yatayotumika

Hizo pesa zote zingeweza fanyia kitu kizuri sana walioko hai mawodini
Hakika ndugu.,....sijui amewaza Nini katika hili... lakini naamini hakufikiria kwa kina au wasaidizi wake hawakumshauri vizuri...........angeboresha huduma za afya hata hizo ruti za mochwari zingepungua.........
 
Ambulance zipi zipo bize mkuu?niko hapa muhimbili hizo gari zimepaki hapo emagence kuna nyingine hata kuwashwa tu haijawashwa siku mbili au tatu mpk janabi anasema hayo amejua inawetekana hajakurupuka.
Mkuu ambulances sio za kubebea maiti, inamaana kila maiti moja unayobeba ni lazima ambulance hii ikafanyiwe usafishaji wa kuondoa maambukizi maana watu tunakufa kwa maradhi mbalimbali, sasa leo ambulance ibebe maiti kesho ikabebe mgonjwa it's craze, why nchi isinunue foresinc special cars kwa ajili ya kubeba maiti tu
 
Ufie wodini, mwili ubebwe na ambulance kwamba hizo gari zinaingia wodini? Najua mortuary ziko huko huko ndani ya majengo.

Hawa wasomi mbona wanatuchanganya?
mkuu . alimaanisha kwamba ili kuhifadhi utu wa mtu atabebwa kwa njia za kawaida toka wodini mpaka pale chini kwenye lift kisha wanapakia kwenye gari hadi kuhifadhi,,, kuliko kumzungusha kwenye corido
 
Kutoka mwaisel mpk sewahaji ndinga duh !? haya bhana
 
unajiskiaje ukiingia tu mlangoni pale wodini pembeni kuna jengo la mochwari?

au wodi utakayolazwa dirisha lenu linatazamana na mlango wa mochwari!

pata kale ka feeling ukisha ka sense utapata jibu la kwanini mochwari zijengwe mbali

Au pia kunakuwa na harufu sana ?ndio maana zinajengwa mbali?
 
Ufie wodini, mwili ubebwe na ambulance kwamba hizo gari zinaingia wodini? Najua mortuary ziko huko huko ndani ya majengo.

Hawa wasomi mbona wanatuchanganya?
Hupajui muhombili,sio bugando hii jengo moja,muhimbili ni sawa na mji wa shinyanga wote
 
Ufie wodini, mwili ubebwe na ambulance kwamba hizo gari zinaingia wodini? Najua mortuary ziko huko huko ndani ya majengo.

Hawa wasomi mbona wanatuchanganya?
Nadhani hujui Muhimbili kulivyo, kuna baadhi ya wodi ziko mbali sana na mortuary ili kutoa urahisi kwa wafanyakazi ni bora ambulance ipark mbele ya word ibebe mwili na kupeleka mortuary kuliko kuukokota all the way kutokea eneo la wodi mpaka mortuary.

Pia kitengo cha wagonjwa wa dharura kipo mbali na baadhi ya wodi itakua rahisi ikiwa ambulance itambeba mgonjwa kutoka kitengo cha dharula kwenda mpaka ilipo wodi husika.

Swali la kujiuliza je hizo ambulance ziko za kutosha kukidhi mahitaji husika?
 
Unamkubali wakati Rushwa imeshaota Mizizi hapo Muhimbil Kwake aliko? Miswahili bhana.....!!!!
Punguza ujuaji dadaangu imeota mizizi mkurugenzi akiwa nani?nenda kajionee mabadiliko yanayoendelea hapo muhimbili ndani ya wiki moja tu.
 
Mwamba namkubali sana Muhimbili lazima ibadilike sana chini ya uongozi wake.
sawa umwambie aisitukataze kula maini
Mkuu ambulances sio za kubebea maiti, inamaana kila maiti moja unayobeba ni lazima ambulance hii ikafanyiwe usafishaji wa kuondoa maambukizi maana watu tunakufa kwa maradhi mbalimbali, sasa leo ambulance ibebe maiti kesho ikabebe mgonjwa it's craze, why nchi isinunue foresinc special cars kwa ajili ya kubeba maiti tu
nani kakuambia mtu akishakufa anaambukiza mwingine magonjwa?.Wao sio wajinga mgonjwa aliyekufa kwa gonjwa la hatari sana linaloweza kuambukiza mfano Covid,kipindupindu na ebola treatment yake lazima itakuwa ni special.Mtu kafa kwa kisukari au ajali ya gari wewe utapata maambukizi vipi
 
Back
Top Bottom