Prof Janabi asaidiwe. Ana tatizo la kisaikolojia. Hayupo sawa

Prof Janabi asaidiwe. Ana tatizo la kisaikolojia. Hayupo sawa

Mkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkel
Wewe unatoka asubuhi unafanya kazi kama punda ili upate nini? sio kuweka chakula mezani. Kweli hata Mungu tunaambiwa alimshushia Yesu mikate leo jamaa hataki tule tunywe maji tu kama Ngamia. Mimi nasema kula chochote mbele yako mwili kazi yake kuchuja kila kitu labda kimoja ki fail, labda angesema kama unakula sana basi fanya mazoezi kidogo hata kutembea tu lakini sio usile.

Unarudi home mkeo anataka haki zake wewe umeshindia maji tu. Binadamu unapata amani ukishiba mimi nadhani angeleta data maana nimeona watoto wengi siku hizi wana magonjwa ya moyo, sukari, figo na hata cancer na ndio kwanza wameanza kula sasa atuambie nini sababu. Baba yangu amefariki ana miaka 97 alikuwa anakula kitu na hakuwahi kuwa anaumwa.
 
Hapa yupo na MC Big Chris ambaye pia ni Daktari kama Prof Janabi. Sasa ukiambiwa chagua afya unamchagua nani?

View attachment 3074594

Inaweza kuwa wengi tumesahau (including myself) lakini biology ya form I or II tumefundishwa mambo ya vyakula na faida zake.

Too much ya chakula chochote sio kizuri na tunashauriwa kula mara tatu kwa siku. Changamoto tuliyanayo leo ni kujua tuna kula nini asubuhi mchana na jioni ili kuwa na balanced diet (healthy eating).

Sasa mtu ambae idea yake ya healthy eating ni kufunga, sijui kula mara moja kwa siku au mara mbili. Upige breakfast ya chai hakuna mkate (hata brown bread kama shida ni starch on white bread), au kushauri butter ambayo health, maziwa kiasi gani.

Mchana ule nini na jioni ule nini, mshauri mwenyewe kakonda kama supermodel anae pambana ku-maintain mwili wake.

Janabi anashida kichwani na watu wenye akili timamu huko wizara ya afya (nutritionists) ni muda wa kujitokeza na kutoa elimu sahihi ya diet.

Ushauri wa Janabi sio wa kitaalamu ni wa bulimic patient anaesambaza psychological problems zake. Sahihi kabisa kumwita kichaa sio mzima.

Aina maana tule hovyo, lazima kuelewa balanced diet na umuhimu wa kufanya mazoezi. Lakini kwa Janabi anahitaji medical (psychological intervention) to sort his Bulimia.

Mkewe alikuwa model wanakawaida ya kuwa obsessed na ku-maintain figures zao njia moja wapo ni kujinyima kula. Sasa keshaokota tabia za mkewe mpaka wamefanana uzito. Anataka nchi nzima ifuate utahira wao.
 

Inaweza kuwa wengi tumesahau (including myself) lakini biology ya form I or II tumefundishwa mambo ya vyakula na faida zake.

Too much ya chakula chochote sio kizuri na tunashauriwa kula mara tatu kwa siku. Changamoto tuliyanayo leo ni kujua tuna kula nini asubuhi mchana na jioni ili kuwa na balanced diet (healthy eating).

Sasa mtu ambae idea yake ya healthy eating ni kufunga, sijui kula mara moja kwa siku au mara mbili. Upige breakfast ya chai hakuna mkate (hata brown bread kama shida ni starch on white bread), au kushauri butter ambayo health, maziwa kiasi gani.

Mchana ule nini na jioni ule nini, mshauri mwenyewe kakonda kama supermodel anae pambana ku-maintain mwili wake.

Janabi anashida kichwani na watu wenye akili timamu huko wizara ya afya (nutritionists) ni muda wa kujitokeza na kutoa elimu sahihi ya diet.

Ushauri wa Janabi sio wa kitaalamu ni wa bulimic patient anaesambaza psychological problems zake. Sahihi kabisa kumwita kichaa sio mzima.

Aina maana tule hovyo, lazima kuelewa balanced diet na umuhimu wa kufanya mazoezi. Lakini kwa Janabi anahitaji medical (psychological intervention) to sort his Bulimia.

Mkewe alikuwa model wanakawaida ya kuwa obsessed na ku-maintain figures zao njia moja wapo ni kujinyima kula. Sasa keshaokota tabia za mkewe mpaka wamefanana uzito. Anataka nchi nzima ifuate utahira wao.
Ana tatizo la kiafya frankly speaking. Mental case is real . Hayupo sawa kabisa
 
Watu wanaofanya kazi ngumu kwamba nao wafanye hivyo..... Sio sawa.... Something is missing in his arguments and caution....
 
Back
Top Bottom