Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Google zipo mtandaoni.. Ukikosa niambieZiweke watu wajioneee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Google zipo mtandaoni.. Ukikosa niambieZiweke watu wajioneee.
Sasa anatupa masharti ya nini? Yeye chai tu 😄Anae
MBAUna shule gani wewe?
Huyu Prof ni tunu ya taifa.Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
😀😀😀😀😀😀Anatupotosha sana maana hiyo lishe labda uwe kwenye pension sio upo kwenye harakati za kushusha tairi ya scania ukiitafuta Tunduma.Anataka kutengeneza Taifa la watu wadhoofu mno.
I can't thank you enough!Huyu Prof ni tunu ya taifa.
Inahusu nini?Hivi hana mke?
Jamaa kitombi.Anakula mashemeji zake pamoja na house girls sio poa.Hivi hana mke?
Tunu ya Taifa au mgonjwa wa Taifa?Huyu Prof ni tunu ya taifa.
Miss TZ babaHivi hana mke?
Hapa yupo na MC Big Chris ambaye pia ni Daktari kama Prof Janabi. Sasa ukiambiwa chagua afya unamchagua nani?That’s not a health eating advice, but a ‘bulimic’ sufferer talking, only that he happens to be a medic.
Kumsikiliza huyo mgonjwa ni kupotea njia. He comes across as someone with an eating disorder condition (bulimia) obsessed with his weight.
His advice as nothing to do with healthy eating.
Surely nchi ina nutritionist experts, inabidi waingilie kati kuliko kumuacha huyu poyoyo kuendelea kupotosha.
Amesema kwamba...sababu zipo mbalimbali za mtu kufanya hivyo.Huyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304